LATRA - CCC YATOA ELIMU KWA WANANCHI JUU YA HAKI ZAO WANAPOSAFIRI

 Wanafunzi na wananchi wengine wakipata elimu kuhusu Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA-CCC), walipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Kimataifa ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.


Wananchi waliofika hapo waliambiwa kwamba mtumiaji wa huduma za Usafiri Ardhini ni abiria anayesafiri kwenye basi la masafa marefu, basi la mijini (daladala),Taxi, Taxi Mtandao, Pikipiki za magurudumu mawili au matatu, pamoja na treni za abiria.


 Baraza hilo limeundwa kisheria ambapo walisema abiria  awapo safarini ana haki zifuatazo; Usalama,kupata mahitaji muhimu, kupewa taarifa awapo safarini,kuchagua,kusikilizwa,kulipwa fidia, kusafirii katika mazingira salama, kuelimishwa na haki ya kugomea huduma au bidhaa zisizokidhi viwango.







Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Miuji B, wakisikiliza maelezo






IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....