MCHUANO MKALI UBUNGE WA VITI MAALUMU UWT KUPITIA KUNDI LA WENYE ULEMAVU

Watu wenye  ulemavu kusikia ambao baadhi yao ni wagombea ubunge Viti Maalumu  wakitafsiriwa kwa lugha ya alama wakati wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Makundi kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania (UWT) Taifa kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 2, 2025.

Ikupa Alex akiomba kura ya ubunge wa Viti maalumu Tanzania Bara.
Dkt. Ummy Nderiananga akiomba kura kwa wajumbe.

Veronica Timotheo mwenye ulemavu wa kuona akiomba kura kwa wajumbe ubunge wa viti maalumu Tanzania Bara.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...