Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, ambaye hivi sasa ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Miujiza, Uponyaji,Kufunguliwa na Mafanikio, Kilontsi Mporogomyi (kulia) akicheza bao na Jumanne Mang'oli wakati wa mashindano ya mchezo huo ya maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Muungano leo kwenye Jumba la Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam. Mporogomyi alishinda. Katikati ni Rais wa Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata), Monday Likwepa. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Baadhi ya wapenzi wa mchezo wa bao wakiwa katika mashindano hayo
Watu mbalimbali wakishindana kucheza bao
Mpologomyi akipongezana na jamaa aliyecheza naye bao Mang'oli
Watu mbalimbali wakishindana kucheza bao
Mpologomyi akipongezana na jamaa aliyecheza naye bao Mang'oli
Comments