MASHINDANO YA BAO YA MAADHIMISHO YA MUUNGANO YAFANA DAR

Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, ambaye hivi sasa ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Miujiza, Uponyaji,Kufunguliwa na Mafanikio, Kilontsi Mporogomyi (kulia) akicheza bao na Jumanne Mang'oli wakati wa mashindano ya mchezo huo ya maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Muungano leo kwenye Jumba la Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam. Mporogomyi alishinda. Katikati ni Rais wa Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata), Monday Likwepa. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
 Baadhi ya wapenzi wa mchezo wa bao wakiwa katika mashindano hayo
                                            Watu mbalimbali wakishindana kucheza bao
Mpologomyi akipongezana na jamaa aliyecheza naye bao Mang'oli

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE