Posts

OWM YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

NA MWANDISHI WETU,  DODOMA MKURUGENZI wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Bi. Stella Mwaiswaga pamoja na Watumishi wengine kutoka Ofisi hiyo wameshiriki ufunguzi wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi tarehe 17 Juni, 2026 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.   Maonesho ya Wiki ya Utumishi ni moja ya matukio katika kalenda ya Umoja wa Afrika (AU) ambapo nchi wanachama huadhimisha kwa kaulimbiu moja na kufanya maonesho ya kazi mbalimbali kuhusu masuala ya Utumishi wa Umma ambapo hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni.   Kwa mwaka huu Maadhimisho hayo yamebeba kaulimbiu isemayo; *“Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi wa Huduma Endelevu”   Sambamba na hilo Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu inashiriki maonesho hayo huku ikitoa elimu mbalimbali kwa umma kuhusiana na shughuli za Wakala Serikali wa uchapishaji Tanzania, elimu kuhusu masuala ya Menejimenti ya Maafa...

PBPA YASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026 DODOMA

TANESCO MUONGEZE VITUO VYA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VINAVYOTUMIA UMEME – WAZIRI RIDHIWANI

MWANYIKA AZIDI KUPAMBANIA UJENZI WA BARABARA YA ITONI - LUSITU

MWENYEKITI UWT MKOA WA PWANI ATUA KIBAHA MJI APANIA KULETA MAGEUZI YA KIUCHUMI KWA WANAWAKE

NMB YAZINDUA SUPER APP, ELIMU YA FEDHA YAPEWA KIPAO MBELE

TANESCO YAKAMILISHA MIRADI YA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME DODOMA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

DUME LA RIKA UMASAINI NDIO SAFARI YA KUAGA UJANA.

PROF. MUHONGO AUCHAMBUA KWA KINA UCHUMI WA TANZANIA

WABUNGE WAOMBWA KUWA MABALOZI WA BIDHAA, HUDUMA ZA PSSSF, NSSF

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA