Posts

RAIS SAMIA AMTEUA BOSS WA TSN KUWA MKURUGENZI MKUU WA TBC. RAIS SAMIA AMTEUA BOSS WA TSN KUWA MKURUGENZI MKUU WA TBC.

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Asha Dachi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, kabla ya uteuzi huo Dachi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN). Anachukua nafasi ya Dkt. Ayub Rioba Chacha ambaye amemaliza muda wake wa uongozi. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu leo Julai 14, 2026.  

RAIS DKT. MWINYI AJIONEA MAFANIKIO YA TANESCO MAONESHO YA SABASABA

WAJASIRIAMALI WATAKAOFUZU MAFUNZO KUPITIA JUWATA, MAMO KUPELEKWA SABASABA 2027

SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA BIDHAA MBALIMBALI

RC TANGA ATOA WITO WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA OWM SABASABA

DKT. MWIGULU ATAKA USHIRIKIANO WA KITAIFA KULINDA AMANI

"HII NDIO LAETOLI"

MAWAZIRI WA EAPP WAAZIMIA KUHARAKISHA SOKO LA PAMOJA LA UMEME

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

PROF. NAGU ARIDHISHWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA BANDA JUMUISHI LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA

WAZIRI SANGU NA MWENYEKITI AL MANSOUR HOLDING WATETA MASUALA YA UWEKEZAJI, AJIRA NA MAENDELEO YA UJUZI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI