Posts

Rais Samia aitunuku NMB kwa mchango mkubwa wa gawio serikalini

BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa mchango wake katika kuongeza mapato ya Taifa na kuchochea utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Tuzo hiyo ilitolewa na Rais Samia Suluhu Hassan katika hafla iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Jumanne, Juni 30, 2026.  NMB iliwakilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, CPA David Carol Nchimbi, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu, Ruth Zaipuna.  NMB ni miongoni mwa taasisi zilizotoa mchango mkubwa kwa Serikali kupitia gawio, kodi na malipo mengine ya kisheria. Hadi Juni 29, 2026, Serikali ilikuwa imekusanya Sh1.32 trilioni kutoka taasisi na mashirika mbalimbali, huku Sh800 bilioni—sawa na asilimia 60—ikitokana na gawio kutoka taasisi zilizopata faida. Makusanyo hayo yameongezeka kwa Sh300 bilioni, sawa na asilimia 30, kutoka Sh1.02 trilioni zilizokusanywa Juni mwaka jana. Tuzo hiyo inaipa NMB nafasi ya kipekee miongoni mwa taasisi zinazot...

MTU ALIYESIMAMA KIMYA KWA DAKIKA 90 AKITIKISA DHAMIRI YA DUNIA .

WALALAZE: TRA, TUMEJIPANGA KUFANIKISHA MAKUSANYO YA KODI KWA MAENDELEO

ASKOFU CHANDE: KUTETEA AMANI SI UCHAWA

SERIKALI IMEJIBU MASWALI 3,318 YA WABUNGE BUNGENI

Kadi mpya ya NMB yafungua fursa za mitaji kwa wafanyabiashara

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA AHITIMISHA MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI

TANESCO YATOA TAARIFA KUKATIKA UMEME WA GRIDI YA TAIFA

NMB, UNCDF wafungua njia mpya kwa kampuni changa za kidijitali *Kampuni changa za kidijitali kupata nguvu mpya kupitia NMB, UNCDF*

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

SERIKALI KUSHUSHA BEI YA MAFUTA NCHINI

SERIKALI KUMZADIWA ML.50.MSHINDI WA SHINDANO LA VIJANA UCHUMI CHALLENGE

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA