Posts

DKT. MIGIRO AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala Bora kwa viongozi na watendaji waandamizi wa Chama yanayofanyika katika Ukumbi wa Mount Royal, Mkoani Iringa. Mafunzo hayo ya siku nne yameandaliwa na Jitegemee Holdings Company Limited (JHCL) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT), na yanawaleta pamoja wajumbe wa Bodi, Menejimenti ya Jitegemee Holdings pamoja na viongozi waandamizi wa CCM. Akifungua mafunzo hayo, Dkt. Migiro amesema kuwa uongozi na utawala bora ni msingi muhimu wa kuimarisha taasisi na kuendeleza maendeleo ya Taifa, akisisitiza kuwa mafunzo hayo yanaendana na utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 pamoja na maono ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Aidha, amewataka washiriki kutumia fursa ya mafunzo hayo kujenga uwezo wa kiuongozi na kuhakikisha maarifa watakayopata yanatumika kuimarisha utendaji wa taasisi wanazoziongoza.  

PROF. MUHONGO ATETA JAMBO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA BRELA NYAISA

PROF.MAHALU AAGA DUNIA

DKT AKWILAPO AKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA MASASI

OKASH AANZISHA MFUMO WA KUSIKILIZA KERO KIDIGITALI

FATMA REMBO, KUNAMBI WAWAPA TAABASAMU WENYE UHITAJI IRINGA

e-GA YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

DKT. MAJULE AWATAKIA HERI SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

HONGERA WANAWAKE WOTE – SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 🌍

TUZO YA HESHIMA KUTOKA KWA WANAWAKE WA UBUNGO

WMA WATOA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

UJUMBE MWANANA WA RAIS SAMIA KATIKA KUADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.