Posts

MKUTANO WA MWAKA WA BARAZA LA MAWAZIRI NA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA ESAAMLG WAFUNGULIWA KIGALI-RWANDA.

  Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb)(kulia), Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Juma Homera (Mb) (kushoto) na Naibu Gavana na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Rwanda, Bw. Nick Barigye, wakiwa katika picha wakati wa hafla ya ufunguzi wa mikutano ya Mwaka ya Umoja wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kupambana na Utakasishaji Fedha Haramu na Ufadhili wa Ugaidi (ESAAMLG), iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, Jijini Kigali nchini Rwanda. Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb)(kulia), akiteta jambo na na Naibu Gavana na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Rwanda, Bw. Nick Barigye (katikati), wakati wa hafla ya ufunguzi wa mikutano ya Mwaka ya Umoja wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kupambana na Utakasishaji Fedha Haramu na Ufadhili wa Ugaidi (ESAAMLG), iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, Jijini Kigali nchini Rwanda. Kushoto ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Juma Homera (Mb). Waziri wa Fedha,...

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI SEPTEMBA 6, 2026

MZINDAKAYA AIPATIA ZAWADI SHULE YA WASICHANA DALIZON BUNGENI

HERSI ANENA MAKUBWA AKIZINDUA TAWI LA YAMGA BOTSWANA

MVUA ZA EL NINO ZINASABABISHWA NA NINI?.

VETA YATEGUA KITENDAWILI CHA AJIRA

"SHERIA YA VIPIMO NI RAFIKI WA WOTE, MUUZAJI NA MNUNUZI"

PATALI AZIDI KUIKUMBUSHA SERIKALI UJENZI WA BARABARA YA MBALIZI - SHIGAMBA

BARABARA YA MAKAMBAKO - SONGEA IMECHAKAA SANA, UKARABATI UTAANZA LINI? - MWANYIKA

MHANDO AZIDI KUIBANA SERIKALI UJENZI WA OFISI YA MADINI KILINDI

UTABIRI WA HALI YA HEWA SAA 24 ZIJAZO

BILIONI 1.8 KULIPA FIDIA KWA WAATHIRIWA 996 KUPISHA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI WILAYANI RUANGWA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA