Posts

NMB YAWEKEZA SH. BIL. 224 MKOPO KATIKA MGODI WA DHAHABU WA GEITA.

Benki ya NMB imewekeza takribani dola za Marekani milioni 100, sawa na Shilingi bilioni 224, katika mkopo wa pamoja wenye thamani ya dola milioni 500 kwa ajili ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita.  Mkopo huo, ulioratibiwa na Nedbank Corporate and Investment Banking kwa ajili ya AngloGold Ashanti, unaifanya NMB kuwa benki kubwa zaidi kutoka Tanzania kushiriki katika muamala huo. Ushiriki huo unaonesha uwezo unaoongezeka wa taasisi za fedha za ndani kuhamasisha mtaji kwa ajili ya uwekezaji mkubwa wa kimkakati. Mkopo huo unatarajiwa kusaidia kuendeleza uzalishaji wa mgodi, mauzo ya dhahabu nje ya nchi, ajira, ununuzi kutoka kwa wazabuni wa ndani na mapato ya fedha za kigeni. Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amesema muamala huo ni utekelezaji wa Agenda 2030 ya benki kwa vitendo. Amesema NMB inaendelea kutumia mtaji, utaalamu na ushirikiano wake kuelekeza fedha katika sekta zenye uwezo mkubwa wa kuchochea ukuaji endelevu wa uchumi wa Tanzania. Hadi sasa...

MSIGWA APATA SUPU KWA MAMA NTILIE AKAGUA HALI YA SOKO LA MACHINGA DODOMA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 22, 2026

RAIS SAMIA AWASILI ACCRA GHANA

RAIS SAMIA AMTEUA SALUM NASSORO KUWA MKURUGENZI WA EWURA

_DKT MWIGULU: AFRIKA IGEUZE MABADILIKO YA DUNIA KUWA FURSA ZA MAENDELEO_

DKT. MDAKU AMLILIA MZEE KENNETHWA LIFETIME WELLS INTERNATIONAL

‎WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1,000 WAHITIMU MAFUNZO YA 'JIFUNZE KWA MAMA UJASIRIAMALI' MOROGORO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎