Posts

NMB YAKABIDHI MISAADA YA MIL. 21.6 SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI MALINYI

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba akionyesha ishara ya shukrani baada ya benki ya NMB kukabidhi vifaa vya shule kwa wilaya hiyo vyenye thamani ya sh21.6milioni katika hafla iliyofanyika shule ya sekondari ya Kilosampepo mkoa wa Morogoro, wa pili kutoka kulia ni Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango na wengine ni wanafunzi wa shule hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba (wa tatu kushoto) akikabidhiwa mmoja ya meza 100 na Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango (wa pili kulia) katika hafla ya benki hiyo ya kukabidhi vifaa vya shule wilaya ya Malinyi vyenye thamani ya sh21.6milioni iliyofanyika katika shule ya sekondari ya Kilosampepo mkoa wa Morogoro. Kulia ni meneja wa Benki ya NMB tawi la Malinyi, Anderson Lyatuu na kuhoto ni wawakilishi wa shule nufaika wa msaada huo. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba (aliyekaa) akifurahia jambo na Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango pamoja na wanafunzi baada ya Benki hiyo kuk...

RAIS SAMIA AKIPATIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA ZAIDI YA SH. BIL 48

CCM WATUMA SALAMU ZA RAMBIRANBI KIFO CHA KARDINALI PENGO

RAIS SAMIA AMLILIA KARDINALI PENGO

PUNGUZA STRESS....

WILAYA YA RUNGWE NA WABUNGE WAKE.

AKWILAPO AONGOZA MAWAZIRI KIKAO CHA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MASHAMBA YA UWEKEZAJI MUHEZA

PUNGUZA STRESS....

KUMBUKA KUNDI LA UMRI WAKO LEO, USISAHAU KUSUDI LA MAISHA YAKO

RAIS ATIMULIWA MADARAKANI KWA KUFANYA UTEUZI WA WANAWAKE

WAZIRI MKUU AMALIZA ZIARA TANGA, AAGIZA FAGIO LIPITE MUHEZA

WASIRA AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE

UWANJA WA KISASA UTAKAOJENGWA JANGWANI USIPIME...

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

HATUNA HOFU KUCHEZA NA AL AHLY- KOCHA WA YANGA

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA