Posts

DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi, Dkt. Asha-Rose Migiro, kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ndogo ya makao makuu CCM, Lumumba, jijini Dar es salaam. Mabalozi hao ni Mheshimiwa Yordenis Despaigne Vera, Balozi wa Jamhuri ya Cuba na Mheshimiwa Vu Thanh Huyen, Balozi wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam, wote wenye makaazi yao nchini Tanzania. Mazungumzo hayo yalijikita katika kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa kihistoria kati ya CCM na vyama rafiki vya CPC–Cuba na CPV–Viet Nam, hususan katika maeneo ya uongozi, mshikamano wa vyama vya siasa na maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa manufaa ya wananchi wa nchi hizi mbili. Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Migiro, alifanya mazungumzo na Mheshimiwa Susan Ngongi Namondo, Mwakilishi Mkaazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, ambapo walijadiliana vipaumbele vya m...

NMB YAVUNJA REKODI, YATANGAZA GAWIO MAALUM KWA WANAHISA

BARABARA YA ITONI-LUSITU UJENZI WAKE UPEWE KIPAUMBELE - MWANYIKA

MGALU ATAKA BARABARA ZA BAGAMOYO PWANI ZIKAMILISHWE

WAZIRI ULEGA ATINGA BUNGENI KWA TABASAMU

BAJETI WIZARA YA ULINZI NI YA VIWANGO

UIMARA, WA CCM, SERIKALI UPO KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA WANANCHI - MBUNGE EDIBILY

SERIKALI KUUNGA MKONO UJENZI WA KITUO CHA AFYA LUGENGE NJOMBE MJINI

WAZIRI DKT. KIJAJI ATINGA BUNGENI NA WAONGOZA WATALII

Dola Milioni 180 Kuimarisha Biashara, Kilimo na Wajasiriamali Kupitia NMB

DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN

RAIS SAMIA AKUTANA NA DANGOTE

MACHOZI YANGU HOSPITALI YA BENJAMINI MKAPA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE