Posts

NMB, UNCDF wafungua njia mpya kwa kampuni changa za kidijitali *Kampuni changa za kidijitali kupata nguvu mpya kupitia NMB, UNCDF*

Benki ya NMB na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF) wamesaini Hati ya Ushirikiano inayolenga kuimarisha mazingira ya kuibua, kukuza na kupanua kampuni changa zenye mawazo bunifu ya kidijitali kupitia uwezeshaji wa kisera na kisheria, masoko, mitaji na ushauri wa kitaalamu. Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es Salaam na Afisa Mkuu wa Teknolojia na Mabadiliko ya Kidijitali wa Benki ya NMB, Kwame Makundi, pamoja na Katibu Mtendaji wa UNCDF, Pradeep Kurukulasuriya. Ushirikiano huo unaendeleza Programu ya PesaTech, iliyoanzishwa mwaka 2022 na ambayo tayari imeziwezesha kampuni changa 22 za teknolojia ya fedha. Makundi alisema kampuni tano tayari zinafanya kazi na NMB, huku tatu zikiunganisha huduma zake katika NMB Mkononi Super App. Benki hiyo inalenga kuingiza zaidi ya kampuni changa 30 katika mfumo wake ifikapo mwaka 2030 na kuziunganisha na mitaji, masoko, wataalamu na mifumo ya kidijitali. Kurukulasuriya alisema UNCDF inaiona NMB kuwa mshirika muhimu katika ku...

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

SERIKALI KUSHUSHA BEI YA MAFUTA NCHINI

SERIKALI KUMZADIWA ML.50.MSHINDI WA SHINDANO LA VIJANA UCHUMI CHALLENGE

KUMEKUCHA CDF CUP 2026, NMB YAWEKA SH. MIL. 150

NENO LA SHUKRANI KWA MBUNGE ENOCK KOOLA WA JIMBO LA VUNJO

MWANYIKA ATAKA MASHARTI MAGUMU YAWEKWE KWA WANAOVUNA MITI BILA KUPANDA

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BUNGE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

PICHA ILIYOBAMBA ZIARA YA RAIS WA NAMIBIA WILAYANI KONGWA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 22, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

BREAKING NEWS…!! SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO