Posts

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

JUMUIYA ya Umoja wa Wanawake ya Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), imetoa msaada wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ikiwa ni moja ya shamrashamra ya  kuadhimisha miaka 49 ya kuzaliwa kwa  chama hicho. Akitoa msaada huo kwa niaba ya Mwenyekiti wa UWT, Mary Chatanda, Katibu Mkuu wa UWT, Suzani Kunambi amesema kuwa vifaa hivyo vyenye thamani ya sh. mil. 20 ni maalumu kwa ajili ya Wodi za wajawazito na watoto Njiti. Ametaja vifaa hivyo vilivyopokelewa na Mganga Mfawidhi msaidizi wa hospitali hiyo, Sara Ludovick kuwa ni; vitanda, mashine za kuleta joto kwa watoto Njiti, sabuni, mafuta na khanga. Katibu Mkuu na wajumbe alioambatana nao walipata wasaa wa kuwatembelea wodi za wazazi na watoto njiti na kuwagapatia wazazi baadhi ya vifaa hivyo pamoja na vitu hivyo vingine. Kunambi ambaye aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, baadhi ya viongozi wa UWT Taifa, UWT Mkoa wa Dodoma, Wilaya ya Dodoma walipanda miti kwenye viunga vya hospitali hiyo. ...

RAIS SAMIA AWASILI DUBAI. UMOJA WA FALME ZA KIARA U (UAE)

DIRA 2050 INA MWANGA MKUBWA WA MAENDELEO - MWALUNENGE

MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA NCHINI.

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA LEO

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARI 2, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA