Posts

WIZARA YA ELIMU NA COSTECH KWA KUSHIRIKIANA NA BENKI YA CRDB WATENGA SHILINGI BILIONI 4.6 KUWAWEZESHA VIJANA WABUNIFU

  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia TUME ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB imetenga jumla ya Shilingi bilioni 4.6 kwa ajili ya kuwawezesha mitaji vijana wabunifu waliofikia hatua ya kupeleka bidhaa na huduma zao sokoni. Uwezeshaji huo unafanyika kupitia Mfuko wa Samia wa Ubiasharishaji Ubunifu uliozinduliwa mwaka 2024, ambao umetambua jumla ya wabunifu 3,300 nchini, ambapo kati yao 300 wameendelezwa kupitia Mfuko wa Taifa wa Uendelezaji Sayansi na Teknolojia (MTUSATE) unaosimamiwa na COSTECH. Akizungumza Februari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuwatambua wanufaika saba waliopata mikopo ya masharti nafuu kupitia mfuko huo, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidhi Ameir, amesema Serikali imeielekeza Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuhakikisha wabunifu, ambao wengi wao ni vijana, wanawezeshwa kukabiliana na ushindani wa soko. Amesema uwekezaji huo unawalenga watanzania wenye bunifu zil...

WANU:SERIKALI KUIBORESHA SHERIA YA ELIMU KUENDANA NA SERA YA 2014 TOLEO LA 2023

BARAZA KUU LA UWT LATOA TUZO KWA KATIBU MKUU WA CCM

UWT YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUELIMISHA JAMII UMUHIMU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARI 14, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA