Posts

MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wanawake wa Jeshi la Magereza kuendelea kujijengea uwezo, kuongeza elimu na ujuzi ili kupata nafasi mbalimbali za uongozi na kitaaluma katika Jeshi hilo, huku akisisitiza umuhimu wa kuendana na mabadiliko ya teknolojia na fursa za kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yao. Mhe. Mahundi ametoa kauli hiyo, Septemba 07, 2026 jijini Dodoma, wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mtandao wa Wanawake Jeshi la Magereza Tanzania 2026, unaolenga kuwajengea uwezo wanawake, kukuza uongozi, kuimarisha usawa wa kijinsia na kuongeza ufanisi katika majukumu ya urekebishaji wa wafungwa. Amesema uwezeshaji wa wanawake ni sehemu muhimu ya kujenga mtaji watu wenye uwezo, akiwataka wanawake wa Jeshi la Magereza kuwa mstari wa mbele katika mageuzi ya kijamii na kidijitali ya Jeshi hilo. “Nawahimiza wanawake wa Jeshi la Magereza kujiamini, kuongeza elimu na ujuzi, na kujiandaa kwa ushin...

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE SEPTEMBA 8,2026

TANZANIA BLOGGERS NETWORK YAANZA KAMPENI YA KUSAMBAZA TAARIFA CHANYA

MAKAMU WA RAIS NDEJEMBI ASHIRIKI MAZIKO YA MUME WA RAIS SAMIA

MAKAMU WA RAIS AKIMFARIJI RAIS SAMIA KUFUATIA KUFIWA NA MUME WAKE

‎WAHITIMU 62,680 WA TIA WAINGIA SOKO LA AJIRA, UJASIRIAMALI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA