Posts

VIJANA WALIOHITIMU JKT WATAKIWA KUTUMIA MAFUNZO WALIYOPATA KUJENGA MAISHA YENYE MWELEKEO MZURI

Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Thobias Nyingo, amewataka vijana waliomaliza Mafunzo ya Awali ya Kijeshi kutumia ipasavyo elimu na mafunzo waliyoyapata ili kujenga maisha yenye mwelekeo mzuri, akiwakumbusha kuwa matumizi mabaya ya mitandao yanaweza kuwa na madhara katika maisha yao ya baadaye. ‎. ‎“Chochote ambacho mmekifanya au mtakachokifanya kuanzia leo, fahamuni kwamba kitakuwa kwenye rekodi yenu ya maisha na kamwe hakiwezi kufutika,” alisema Nyingo. ‎. ‎Mhe. Nyingo ameyasema hayo leo, Septemba 14, 2026, wakati akihitimisha Mafunzo ya Awali ya Kijeshi kwa Vijana wa Kujitolea OP Nishati Safi pamoja na Mujibu wa Sheria OP Linda Amani, yaliyofanyika katika Kikosi cha Makutupora JKT,mkoani Dodoma. ‎. ‎Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali Shija Lupi, amewataka vijana hao kuishi kwa kuzingatia kiapo walichokiapa, kuepuka kurubuniwa na kuwaelimisha pamoja na kuwashauri wenzao ambao hawana taarifa sahihi. ‎. ‎Amesema vijana hao wanapaswa kutum...

LAPORTA AMPA RAIS SAMIA SALAMU ZA POLE KUFUATIA KIFO CHA MWENZAWAKE

NMB FOUNDATION YAJA NA MPANGO MZIMA WA NURU YANGU KWA WAHITIMU WA VIJIJINI

WATUMISHI KONDOA WAHAMASISHA UTALII WA NDANI KUPITIA ZIARA NGORONGORO

*NMB YAINGIA 10 BORA DUNIANI KWA BENKI ZENYE MALI YA DOLA BILIONI 3–10

Wanafunzi 150 wa Samia Scholarship Kwenda Algeria

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 220 IGANJO–SAZA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA UCHIMBAJI WA MADINI – SALOME

NMB YAJIUNGA NA GOAT RACES KUCHAGiZA ELIMU YA VIJANA

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA NA MAWAZIRI WATOA POLE KWA RAIS SAMIA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 10, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA