Posts

KONGOLE NECTA KWA MPANGO KUPANDA MITI 150,000 KUTUNZA MAZINGIRA

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Utunzaji wa Mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe msomi, suala la utunzaji mazingira linakuhusu. Faida za utunzaji mazingira zinatunufaisha sote. Madhara ya uharibifu mazingira yanatuathiri sote. Hakuna aliye salama mazingira yakiharibika. Ndiyo maana ni vyema mikakati ya utunzaji mazingira ikafanyika mapema. Dunia kwa sasa inakabiliwa na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi. Kutokana na changamoto hiyo, mikakati inawekwa ya namna bora ya kukabiliana na changamoto hiyo ili kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi na kufurahia maisha. Tanzania kwa kuwa si kisiwa, tumeathirika pia na mabadiliko ya tabianchi kama zilivyo nchi nyingine. Serikali imechukua hatua kadhaa ikiwemo suala la kuhamasisha watu binafsi, taasisi, makampuni na wizara kupanda miti ili kupunguza athari. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amekuwa mfano mzuri wa kuigwa kuanzia kuhamasisha watu kupanda miti hadi kufanya kwa ...

COCO BEACH HAIUZWI- DKT. MCHEMBA

WAZIRI MKUU: COCO BEACH HAIUZWI, NI YA WANANCHI*

MWENYEKITI WA UWT TAIFA AMESAINI KITABU CHA WAOMBOLEZAJI MKOANI IRINGA

RAIS SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

DKT. KIKWETE AKUTANA NA RAIS MUTHARIKA

MAFUTA YALIYOPO YANATOSHA KWA MIEZI MIWILI HADI MITATU

SEKTA BINAFSI NDIYO INJINI KUU YA UKUAJI WA UCHUMI- RAIS MWINYI

RAIS SAMIA ATOA HESHIMA MWILI WA MAREHEMU LUKUVI DAR

*RAIS SAMIA MSIBANI KWA LUKUVI*

HERSI AZINDUA TAWI LA YANGA CHINA

MWILI WA MAREHEMU LUKUVI WAWASILI DAR

RAIS MWINYI AFUNGUA MPANGO WA PILI WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI (MKUMBI II)

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI