Posts

PINDA AONGOZA UPANDAJI WA MITI 7,000 DODOMA, KAMPENI YA “URBAN FOREST” YAANZA

  WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda,  ameongoza shughuli ya  upandaji wa takribani miti 7,000 katika eneo la Ndejengwa jijini Dodoma, ikiwa ni hatua ya kuelekea utekelezaji wa mradi wa kuanzisha Msitu wa Mjini (Urban Forest) utakaohusisha upandaji wa miti 20,000 katika Jiji la Dodoma. Shughuli hiyo imeandaliwa na Habari Conservation Organisation (HCO) kwa ufadhili wa East African Crude Oil Pipeline (EACOP) na ni sehemu ya kampeni ya "Kijanisha Dodoma" iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa Makamu wa Rais. Akizungumza baada ya kushiriki upandaji wa miti hiyo, Pinda amesema uanzishwaji wa misitu ya mijini ni hatua muhimu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, kupunguza ongezeko la joto, kuhifadhi vyanzo vya maji na kuboresha mazingira ya makazi. Amesema ukuaji wa miji unapaswa kwenda sambamba na uwekezaji katika maeneo ya kijani ili kuhakikisha maendeleo yanakuwa endelevu. "Hatupaswi kupanda miti tu, ...

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

EUROMONEY YAITAJA NMB BENKI BORA ZAIDI TANZANIA KWA WAFANYABIASHARA

JAB YAPOKEA OMBI LA KUTOA MAFUNZO KWA BLOGGERS ZAIDI YA 200

KATIBU MKUU CCM AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA.

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA : MIFUMO YA SHERIA INAYODUMU MUDA MREFU INAWAVUTIA WAWEKEZAJI

WANAHABARI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU CHAMWINO

CHATANDA: MAMA TIBAIJUKA, TUJENGE MSINGI WA UTII WA SHERIA NA SI MASHINIKIZO YA KUFUTA KESI KWA JINA LA MARIDHIANO

TIMU YA TAIFA MASHINDANO JUMUIA YA MADOLA 2026 YAAGWA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

MWANAMAPINDUZI CHE GUEVARA ALIVYOTUA TANZANIA KWA SIRI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA