Posts

Ruth Zaipuna Kuipeleka NMB Jukwaa la Kimataifa Cambridge

Katika hatua muhimu kwa sekta ya benki nchini  na uongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ruth Zaipuna, anatarajiwa kuzungumza katika Cambridge Africa Business Conference 2026, utakaofanyika Mei 30, 2026 katika Chou cha Biashara cha Cambridge Judge chini ya  Chuo Kikuu cha Cambridge Uingereza.   Katika jukwaa hilo, Zaipuna anatarajiwa kutoa hotuba kuu kuhusu safari ya mageuzi ya NMB na mchango wake katika uchumi wa Tanzania, akieleza namna benki hiyo ilivyokua kutoka katika mizizi ya huduma ndogo za fedha hadi kuwa moja ya taasisi zinazoongoza katika sekta ya fedha nchini.   Mkutano huo wenye kaulimbiu ya “Kujenga Mustakabali wa Afrika: Mitaji, Ubunifu na Ukuaji wa Kiwango cha Bara,” unalenga kujadili nafasi ya Afrika katika kuchochea ukuaji kupitia mitaji, ubunifu na uwezo wa taasisi za Afrika kufanya kazi kwa kiwango cha bara, hususan katika mazingira ya AfCFTA.   Akizungumzia mwaliko huo, Zaipuna alisema ni hes...

SERIKALI KUTAFUTA SH. BIL. 4.6 KUTEKELEZA MRADI WA MAJI KIFANYA NJOMBE

MCHENGERWA KAMA USIPOKUWA NGANGARI UTACHOMOKA- SHABIBY

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATOKEO YA TAFITI ZA: UWEZESHAJI WA WANAWAKE NA LISHE PAMOJA NA TAFITI YA JINSIA NA MAZINGIRA*

MBUNGE LUTEVELE ATAKA ADA YA KUJIUNGA BIMA YA AFYA KWA WOTE IPUNGUZWE

NILIBAKI KUSTAAJABIA, ILA NIKAFURAHI KUONA SERIKALI IMEFANYA VIZURI KATIKA SEKTA YA AFYA - MWANDABILA

LUFUNGIJA AITAKA SERIKALI KUJENGA HOSPITALI YENYE HADHI YA WILAYA ULYANHULU

WAZIRI MCHENGERWA AOMBA SH. TRIL. 1.8 BAJETI WIZARA YA AFYA

NMB YAHIMIZA WANAWAKE DODOMA KURASIMISHA VIKUNDI KUPATA FURSA ZA KUFEDHA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

JKCI YAWAGUSA WANANCHI NJOMBE KUPITIA KAMPENI YA "JUWA NAMBA ZAKO"

MBUNGE MWANDABILA ATISHIA KUPIGA MAGOTI BUNGENI AKIOMBA GARI LA RUASA ILEJE

JE BLOGU ZETU ZINAWEZA KULINDA TASWIRA YA TANZANIA KWENYE AKILI MNEMBA (AI)? ✨

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE