Posts

WAAJIRI WAHIMIZWA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA WATUMISHI KURAHISISHA UTOAJI WA MAFAO

Mhasibu Mwandamizi kutoka Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha, Bi. Macelina Haule, akimsikiliza Mzee Saidi Mchimile, aliyekuwa akiuliza kuhusu mafao ya uzeeni, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Bajeti, Bw. Boniface Kilindimo, akitoa elimu ya Bajeti kwa , Bw. Etiene Ismail (katikati) na Collins Shirima, walipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.  Afisa Mwanndamizi kutoka Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. Lelansi Mwakibibi, akisikiliza maswali ya Mzee Abuu Masro, baada ya kupewa elimu ya Sera na faida yake kwa jamii, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara...

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA..

KAMWE USIWAAMINI WATU WAFUATAO!!

PACOME AWA MCHEZAJI BORA

WAZIRI KIKWETE AONGOZA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI LONGIDO

HATIMAYE MO DEWJI AJITOKEZA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

𝐌𝐄𝐂𝐇𝐈 𝐊𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐋𝐄𝐎 12 𝐉𝐔𝐋𝐘,2025. .

TWIGA STARS YATOKA SARE NA AFRIKA KUSINI

RAC TABORA AZITISHIA 'NYAU' YANGA NA SIMBA

MAKAMU WA RAIS APONGEZA UKARIBU WA BENKI YA NMB NA SERIKALI

RC CHACHA AELEZA MAFANIKIO LUKUKI AWAMU YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

RC CHACHA AWATOA HOFU WALAJI WA ASALI YA TABORA ‎

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI