Posts

MRADI KILIMO ENDELEVU WAONDOA MIKOPO 'KAUSHA DAMU' KWA WAKULIMA ARUSHA

NA MWANDISHI WETU, ARUSHA MRADI wa Kilimo Endelevu unaotekelezwa kwenye vijiji vya Seuri na Oldonyowas mkoani hapa, umeepusha wakulima na mikopo ‘kausha damu’. Mradi huo unafadhiliwa na Shirika la Island of Peace (IDP) na lingine lisilo la Serikali linalojihusisha na utafiti, ushauri wa kitaalamu na Miradi ya Maendeleo na Jamii (RECODA) ukinufaisha zaidi ya wakulima 700 wa vijiji 10. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti, wakulima wa vijiji hivyo walisema walishakata tamaa na kilimo, kutokana na mavuno madogo waliyokuwa wakipata, ila tangu mradi huo uanze, wanaona matumaini mapya. Mkulima Witness Sikoi wa Seuri, amesema IDP na RECODA wamemfanya aone kilimo kinalipa, kutokana na hatua aliyopiga. Witness, Mwenyekiti wa Kikundi cha Elishorie, amesema kabla ya mradi wa Kilimo Endelevu wanawake wengi walishiriki mikopo inayotesa na kuwagombanisha na waume zao. "Hatukuwa na amani kutokana na mikopo ya kausha damu, ila kwa sasa tuna amani isiyo na kifani, kwani tun...

NMB YAIMARISHA UFADHILI WA KILIMO, YALENGA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO

WATALII WASHUHUDIA MWENGE WA UHURU UKIMULIKA MAAJABU YA NGORONGORO

HIGH SCHOOLS ZA MUSOMA VIJIJINI ZINAANZA RASMI MASHINDANO YA MBUNGE WA JIMBO

TUENDELEE 'KUKIBIDHAISHA KISWAHILI' KUFANIKISHA UKUZAJI UCHUMI

WAZIRI NYANSAHO AIPONGEZA SUMA JKT KUTOA AJIRA KWA VIJANA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JULAI 7, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA