Posts

NMB INAJENGA KIZAZI KIPYA CHA WATALAAMU WA SEKTA YA FEDHA

Mkuu wa Idara ya Rasilimali Watu wa Benki ya NMB, Erica Hanson (wapili kulia) akimkabidhi cheti cha uhitimu mwanafunzi, Irene Kimaro (wapili kushoto) wakati wa mahafali maalum ya mafunzo maalum ya utayari wa kuwa watumishi wa Benki (Graduate Bankers Readiness program) kutoka Benki ya NMB. Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imeendeleza jitihada zake za kujenga nguvu kazi yenye ujuzi na maarifa ya kisasa katika sekta ya fedha nchini kwa kusaidia mafunzo ya kitaaluma na kutalaamu kwa vijana 100 kupitia mpango maalumu wa mafunzo ya Graduate Banker Readiness Programme (GBRP) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.   Kupitia mpango huo, Benki ya NMB kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inatoa mafunzo, maarifa ya vitendo, na ufaham wa kina wa sekta ya fedha. Kundi la nne la mpango huu, kama ilivyokuwa kwa makundi yaliyotangulia, limepata mafunzo ya ujuzi muhimu, maarifa ya vitendo, na ufahamu wa kina wa sekta ya fedha, na lilihitimu Ijumaa iliyopita.   Akizungumza kabla ya kuwa...

TUMEANDIKA HISTORIA KUBWA, UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA - RAIS SAMIA

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

WAKURUGENZI WALIOONGOZA IDARA YA USALAMA WA TAIFA TANZANIA (TISS)

PUNGUZA STRESS....

MCHUNGAJI MBOMBO CELE ALIKUWA TAPELI, ANAUA WATOTO-JESHI LA POLISI

"HATA MBWA MWENYE MSIMAMO ANAHESHIMIKA”

MTANZANIA GEAY AIBUKA BINGWA DAEGU MARATHON 2026

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 23, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA