Posts

SERIKALI KUTENGA ENEO LA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA MISITU, PARACHICHI

  Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji imekubali ombi la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika la kutenga mkoani Njombe maeneo ya kiuchumi ya kujenga viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya misitu na parachichi. Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Steven Chaya alipokuwa akijibu maswali ya Mwanyika wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 20, 2026. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026

MATUKIO YA MBUNGE MWALUNENGE BUNGENI DODOMA

MWENGE WA UHURU KITAIFA KUPITIA JUMLA YA MIRADI 68 YENYE THAMANI YA BL.263.1 MKOA WA PWANI

DKT. RWEIKIZA APAMBANIA AJIRA ZA VIJANA

NMB YATOA SH. MIL 500 KUSAIDIA HUDUMA ZA UPANDIKISHAJI FIGO NA UBOHO BMH

MNEC-SUKI RABIA HAMIDI,KANSELA WA CPC WAFANYA KIKAO KAZI JIJINI DAR

OFISI YA RAIS MIPANGO NA UWEKEZAJI YAOMBA BAJETI YA SH. BL. 144

NANI ATAVIKWA TAJI LA DHAHABU JUMAPILI HII? 👑

KATIBU MKUU CCM AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA

CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

MWALUNENGE ATAKA MBEYA IKOPESHWE FEDHA ZA KUJENGA KM 100 ZA BARABARA ZA JIJI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.