Posts

FCC IMESHUGHULIKIA MALALAMIKO 63 YA WALAJI WADOGO NCHINI

Wizara Viwanda na Biashara kupitia FCC imeendelea na juhudi za kupambana na bidhaa bandia na  kumlinda mlaji dhidi ya mienendo potofu, hadaifu na kandamizi katika soko la bidhaa na huduma.  Hayo yameelezwa na Waziri wa wizara hiyo, Judith Kapinga alipokuwa akiwasilisha hotuba ya makadirio ya Bajeti ya wizara kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 22, 2026. Amesema hadi kufikia Aprili, 2026, Wizara kupitia FCC imeshughulikia malalamiko 63 ya walaji wadogo ambapo malalamiko 45 yalipatiwa ufumbuzi na malalamiko 18 yaliyobaki  yapo katika hatua mbalimbali za utatuzi; Aidha, Waziri Kapinga amesema kuwa FCC imesajili na kuthibitisha mikataba 27 inayoandaliwa na upande mmoja (SFCC) kwa lengo la kuondoa masharti kandamizi kwa walaji;  "FCC imefanya kaguzi za kushtukiza 31 ambapo bidhaa zenye thamani ya shilingi bilioni 4.74 zilikamatwa kwa kuvunja Sheria ya Alama za Bidhaa ya 1963 (kama ilivyorekebishwa). " Ametaja bidhaa zilizokamatwa kuwa ni; vipuri vya magari,...

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 22, 2026

BUNGE LAPITISHA TRILIONI 2.5 KWA WIZARA YA UJENZI.

TATIZO LA UJENZI WA BARABARA NI FEDHA, DAWA HII HAPA - PROF. MUHONGO

DKT. MAJULE AWAPAMBANIA WAHITIMU KUPATA MIKOPO KUTUMIA KWA VYETI VYAO KAMA DHAMANA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

SIFA YA WADATOGA KUOA WAKE WENGI.

DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN

NMB YAVUNJA REKODI, YATANGAZA GAWIO MAALUM KWA WANAHISA

BARABARA YA ITONI-LUSITU UJENZI WAKE UPEWE KIPAUMBELE - MWANYIKA

MGALU ATAKA BARABARA ZA BAGAMOYO PWANI ZIKAMILISHWE

WAZIRI ULEGA ATINGA BUNGENI KWA TABASAMU

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE