Posts

DCEA YATAKA MADEREVA NA MAKONDAKTA KUFUATA SHERIA ZA USAFIRISHAJI WA MIZIGO

 NA MWANDISHI WETU MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewataka Wamiliki wa Mabasi  kuhakikisha madereva, Utingo na wahudumu wao wanafuata sheria ambazo zimewekwa na Serikali  za kupokea na kusafirisha mizigo. Imeelezwa sheria hizo zitasaidia  kuzuia matumizi ya vyombo hivyo kusafirisha dawa za kulevya na kusisitizwa kwamba kila kifurushi kinapaswa kutambulika mmiliki wake na kuwepo taarifa sahihi za mtumaji na mpokeaji. Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, amebainisha hayo, leo Juni 12, 2026 katika Kituo Kikuu Cha Mabasi Magufuli (Magufuli Terminal), Mbezi jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa filamu iliyotayarishwa kwa lengo la kutoa elimu kwa umma kuhusu athari za biashara na matumizi ya dawa za kulevya. "Hatua hiyo itasaidia kubaini wahusika endapo mzigo haramu utagundulika na kuondoa uwezekano wa kuwahusisha watu wasiohusika na uhalifu huo. Ameongeza kwamba kubeba vifurushi visivyojulikana kunaweza kusababisha madhara ya kisheri...

JKT YAREJEA WITO KWA VIJANA WALIOCHELEWA KURIPOTI MAKAMBINI, WARUHUSIWA KURIPOTI HADI JUNI 15, 2026

WADAU 3,000 KUKUTANA DODOMA JUKWAA LA NGOs 2026

MWANYIKA AZIDI KUIBANA SERIKALI UJENZI WA BARABARA ZA VIJIJINI JIMBO LA NJOMNE MJINI

MATUKIO YA UWASILISHWAJI WA BAJETI KUU YA SERIKALI BUNGENI DODOMA

KIKWETE AKUTANA NA MSHARI WA TRUMP PEMBEZONI MWA MKUTANO WA OSLO FORUM

WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA KITUO CHA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VYA UMEME – DODOMA

Mgawanyo wa hisa NMB wafungua mlango kwa wawekezaji wapya

MAKALA :Uchumi wa Nyuklia: Uchambuzi wa akiba ya urani ya Mkuju na maono ya Rais Samia ya kinu cha kwanza mwaka 2029

MAPENDEKEZO 121 KATI YA 727 YA KODI, TOZO, ADA YAKUBALIWA BAJETI KUU

USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034 - SALOME

MBUNGE MHANDO ATETA WAZIRI MKUU NCHEMBA BUNGENI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda