Posts

UWT MKOA WA PWANI YAWAPIGA MSASA MADIWANI WA VITI MAALUMU KUWAJENGEA UWEZO

Na Victor Masangu,Pwani  Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani imeamua   kuwajengea uwezo na maharifa madiwani wote  wa viti maalumu kwa kuwapatia semina elezeki ambayo itawasaidia katika kutekeleza majukumu yao. Katika semina hiyo ambayo pia imehudhuliwa na makatibu wa UWT ngazi za Wilaya imelenga kuwajengea uwezo ikiwa pamoja na kuwakumbusha wajibu na majukumu yao ya kila siku ya ndani ya chama na jumuiya. Katibu wa  jumuiya ya wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani Aziza Hussein amebainisha kwamba katika semina hiyo madiwani wamekumbushwa katika suala la kusimamia miradi ya maendeleo. Pia katibu huyo amesema kwamba madiwani hao wameweza kupatiwa mbinu mbali ambazo zitaweza kuwasaidia katika kutatua changamoto ambazo zinawakabili wananchi. "Tumeandaa semina hii ya kuwakutaniisha madiwani wote wa viti maalumu kutoka Mkoa wetu wa Pwani na lengo kubwa ni kuwajengea uwezo wa kutatua mambo mbali mbali ambayo wamekuwa wakiyatekeleza katika maeneo  yao,"amebain...

RC PWANI AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUVALIA NJUGA KERO NA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

NMB Yaimarisha Ubia na SMZ Kusukuma Ukuaji Endelevu Zanzibar*

LUFUNGIJA AELEZA MATATIZO YA VITUO VYA POLISI KUPANGA KWENYE NYUMBA ZA RAIA ULYANHULU

TFS NI MWIBA KWA BODABODA MBEYA, BADILIKENI - MWALUNENGE

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA KIBAHA LAAZIMIA KUTATUA KERO NA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MEI 24, 2026

WASIRA AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VYAMA SITA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA.

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA

MWALUNENGE ATAKA MIRADI YA BARABARA MBEYA IKAMILIKE KWA WAKATI

MKOA WA MBEYA UMEBARIKIWA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MEI 23, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE