Posts

WAJASIRIAMALI WATAKAOFUZU MAFUNZO KUPITIA JUWATA, MAMO KUPELEKWA SABASABA 2027

Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Morogoro, Beatrice Njawa ameviahidi vikundi vitano vya Wajasiriamali kuvipeleka kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam 2027, endapo vitafanya vizuri katika mafunzo ya siku tatu ya ujasiriamali ya "Jifunze kwa Mama Ujasiriamali" yaliyoandaliwa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) kwa ushirikiano na Taasisi ya Mamo Enterpreurship kwenye Ukumbi wa Bwalo la JKT Umwema mjini Morogoro kuanzia Julai 13 hadi 15, 2026. Sehemu ya Wajasiriamali kutoka maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Morogoro wakiwa katika mafunzo hayo.   Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Morogoro, Beatrice Njawa (katikati), akisindikizwa na Mwenyekiti wa JUWATA, Richard Mwaikenda (kushoto) na Katibu Mkuu wa Jukwaa hilo, Ahmad Mohamed baada ya kufungua mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na zaidi ya wananchi 800.

SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA BIDHAA MBALIMBALI

RC TANGA ATOA WITO WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA OWM SABASABA

DKT. MWIGULU ATAKA USHIRIKIANO WA KITAIFA KULINDA AMANI

"HII NDIO LAETOLI"

MAWAZIRI WA EAPP WAAZIMIA KUHARAKISHA SOKO LA PAMOJA LA UMEME

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

PROF. NAGU ARIDHISHWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA BANDA JUMUISHI LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA

WAZIRI SANGU NA MWENYEKITI AL MANSOUR HOLDING WATETA MASUALA YA UWEKEZAJI, AJIRA NA MAENDELEO YA UJUZI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.