Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba akionyesha ishara ya shukrani baada ya benki ya NMB kukabidhi vifaa vya shule kwa wilaya hiyo vyenye thamani ya sh21.6milioni katika hafla iliyofanyika shule ya sekondari ya Kilosampepo mkoa wa Morogoro, wa pili kutoka kulia ni Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango na wengine ni wanafunzi wa shule hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba (wa tatu kushoto) akikabidhiwa mmoja ya meza 100 na Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango (wa pili kulia) katika hafla ya benki hiyo ya kukabidhi vifaa vya shule wilaya ya Malinyi vyenye thamani ya sh21.6milioni iliyofanyika katika shule ya sekondari ya Kilosampepo mkoa wa Morogoro. Kulia ni meneja wa Benki ya NMB tawi la Malinyi, Anderson Lyatuu na kuhoto ni wawakilishi wa shule nufaika wa msaada huo. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba (aliyekaa) akifurahia jambo na Meneja wa benki ya NMB kanda ya kati, Janeth Shango pamoja na wanafunzi baada ya Benki hiyo kuk...
- Get link
- X
- Other Apps