Posts

CHATANDA AWAONGOZA UWT KWENYE KILELE CHA TAMASHA LA KIZIMKAZI

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), leo tarehe 14 Agosti 2026, amewaongoza viongozi na wanachama wa UWT kushiriki katika Kilele cha Tamasha la Kizimkazi, kilichofanyika katika Uwanja wa Mwembe Makunduchi, Zanzibar. Katika kilele hicho, Mwenyekiti Chatanda amewaongoza wana UWT katika shamrashamra za kusherehekea pamoja na wananchi na washiriki wengine wa tamasha hilo. Tamasha hilo limefungwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.  

KATIBU MKUU MRAMBA ATEMBELEA MAONESHO YA KIZIMKAZI 2026

NGORONGORO KIVUTIO CHA UTALII KILICHOTEMBELEWA ZAIDI MWAKA 2025

SALOME APONGEZA UTOAJI ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA KIZIMKAZI

TARURA WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI YAANDAA MKAKATI WA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO, MAFUNZO KWA WALIMU

TRA TANGA YATOA MAFUNZO MABADILIKO SHERIA ZA KODI KWA WAFANYABIASHARA

BITEKO: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

KATIBU MKUU CCM AFUNGUA TAWI LA CHAMA KIBUTENI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥