Posts

AFCON 2027 YACHOCHEA MAPINDUZI YA HUDUMA ZA AFYA ARUSHA

  Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha. Maboresho hayo yanafanyika kwa uwezeshaji wa Global Medicare, kwa lengo la kuongeza ubora wa huduma za afya, kuboresha mazingira ya matibabu, kuimarisha utalii tiba na kuiandaa hospitali kutoa huduma zinazokidhi viwango vya kimataifa kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2027. “Lengo kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kabisa na katika mazingira mazuri. Vilevile tunataka kuimarisha utalii tiba na kutengeneza mazingira mazuri kwa ajili ya AFCON 2027,” alisema Makonda. Makonda pia alimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya afya na kuruhusu taasisi za kibingwa kama JKCI kupanua huduma zake hadi mikoani. Kwa upande wake, Mkurugenzi...

WAJASIRIAMALI WACHANGAMKIA KUJIUNGA NSSF SEMINA ILIYOANDALIWA NA JUWATA

SUA YAIPONGEZA PPPC KWA KUKUZA AJENDA YA UBIA KATIKA SEKTA YA KILIMO

RAIS SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUMU KUTOKA KWA RAIS WA DR. CONGO

"MSEMO WA WAMAKONDE, KILA MUNU AVE NA KWAO WATUA SWEDEN"

UANAGENZI UTAWATOA VIJANA KIMAISHA -WAZIRI SANGU

WAZIRI ULEGA AKAGUA MIRADI MALINYI, DKT. MDAKU AIOMBA SERIKALI KUHARAKISHA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI

NMB, MANTRAC WAFUNGUA UFADHILI WA MITAMBO KWA WACHIMBAJI, WAKANDARASI

"CHUMA CHIKOLI MOTO NGORONGORO"

MJUE SHEKILANGO ALIYEKUFA AKIIJENGA UGANDA

JENERALI SILAS MAYUNGA: MBINU ZA KITAALUMA NA UONGOZI SHUPAVU ULIONUSURU MAMIA YA ASKARI KATIKA VITA VYA KAGERA

PINDA AONGOZA UPANDAJI WA MITI 7,000 DODOMA, KAMPENI YA “URBAN FOREST” YAANZA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎