Posts

WAKURUGENZI WALIOONGOZA IDARA YA USALAMA WA TAIFA TANZANIA (TISS)

Wakurugenzi walioongoza Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania (Tiss) 1. Emilio Mzena (1961 - 1975) alidumu kwa takribani miaka kumi na nne (14). 2. Lawrence Gama ( 1975 - 1978) alifanikiwa kudumu kwa miaka mitatu tu. 3. Dkt. Hassy Kitine( 1978 -1980) alidumu kwa miaka miwili tu. 4. Dkt. Augustine Mahiga ( 1980 - 1983) alidumu kwa miaka mitatu tu. 5. Luteni Jenerali Imran Kombe (1983 - 1995) alidumu kwenye nafasi hiyo kwa miaka 13, Lakini aliuwawa na polisi Juni 30, 1996. 6. Kanal Apson Mwang'onda (1995 - 2005) alidumu kwa takribani miaka 10 tu. 7. Othiman Rashid ( 2005 - 2016) Alihudumu kwenye kazi hiyo kwa miaka kumi na moja. 8. Dkt. Modestus Kapilimba (2016 - 2019) alidumu kwenye ngazi hiyo kwa miaka Mitatu tu. 9. Diwani Athuman Msuya ( 2019 - 2023) Miaka mitatu tu ilimtosha kufanya kazi hiyo. 10. Said Hussein Masoro ( Jan, 2023 - Agosti 2023) Miezi nane tu na akamkabidhi kijiti mtu mwingine. 11. Balozi Ali Idi Siwa ( Agost 2023 ) 12. Selemani Mombo. ( Hadi sasa)  

PUNGUZA STRESS....

MCHUNGAJI MBOMBO CELE ALIKUWA TAPELI, ANAUA WATOTO-JESHI LA POLISI

"HATA MBWA MWENYE MSIMAMO ANAHESHIMIKA”

MTANZANIA GEAY AIBUKA BINGWA DAEGU MARATHON 2026

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 23, 2026

TUTAMKUMBUKA KARDINALI PENGO KWA MCHANGO WAKE ADHIMU, UPENDO - DKT. KIKWETE

JAFO EDUCATION FOUNDATION YAFADHILI VIJANA 51 KUSOMA CHUO CHA FDC KISARAWE – MZENGA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS