Posts

TRC YAANZA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA CONTAINER CARRIERS SGR

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Akizungumza wakati wa kuanza safari ya treni ya kwanza ya makasha kutoka Pugu kuelekea Ihumwa mkoani Dodoma, Kaimu Mkurugenzi wa Usafirishaji wa TRC, Focus Makoye Sahani, amesema treni hiyo inasafiri umbali wa takribani kilometa 420 kutoka Dar es Salaam. Amesema hatua hiyo ni mwanzo wa usafirishaji wa makasha baada ya TRC kuanza kusafirisha abiria pamoja na mizigo mbalimbali ikiwemo kichele kuanzia mwezi Julai, pamoja na saruji inayopakiwa Pugu. “Leo tumeongeza wigo wa biashara kwa kupakia makasha. Kama mnavyoona, treni yetu ya kwanza ya makasha kwenda Ihumwa, Dodoma, leo imeanza safari zake na tuna ofa ya kutosha kutoka kwa mteja wetu wa kwanza,” amesema Sahani. Ameeleza kuwa treni hiyo ina mabehewa 50 yanayobeba jumla ya makasha 1...

WAZIRI MKUU ANUSA WIZI MWINGINE MUHEZA – TANGA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEBRUARI 17, 2026

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

MBEYA YAWEKWA KITOVU CHA BIASHARA SADC: TISEZA YAONGEZA KASI YA UWEKEZAJI WA NDANI

NMB YAITANGAZA SEKTA YA MADINI TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI

PUNGUZA STRESS.,.

MAWAZIRI, VIONGOZI WAELEZEA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS ETHIOPIA, DUBAI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA