Posts

WAKAZI WA NJOMBE WAFIKIWA NA HUDUMA ZA KIBINGWA MAGONJWA YA MOYO

  Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga akizungumza na Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group walioko Mkoani Njombe wanaotoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwenye maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema vilivyopo mkoani humo. Daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moses Manumbu akimsikiliza mwananchi aliyefika katika banda la JKCI Hospitali ya Dar Group kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zinazotolewa na taasisi hiyo katika maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema vilivyopo mjini Njombe Wananchi wakipata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi ...

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA