Posts

SERIKALI KUMZADIWA ML.50.MSHINDI WA SHINDANO LA VIJANA UCHUMI CHALLENGE

Na Victor Masangu, Pwani   Serikali ya awamu ya sita katika kupambana na changamoto ya ukosefu wa ajira imeamua kuja na mpango kabambe  wa kuanzisha shindano  linalojulikana kwa jina la Vijana uchumi Challenge lenye lengo la kuwakutanisha vijana mbali mbali ili waweze kutoa kutoa mawazo  yenye kuleta tija katika kuisaidia serikali katika nyanja mbali mbali ikiwemo uchumi na maendeleo. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu  Ofisi ya Rais maendeleo ya vijana Dkt.  Kedmon Mapana  wakati wa halfa ya uzinduzi rasmi wa kambi maalumu  kwa ajili ya usahili wa vijana wapatao 100 bora  ambao wamepata fursa ya kuchaguliwa kati ya vijana elfu 7852 walioshiriki hapo awali kutoka mikoa mbali mbali ipatayo 27 ya Tanzania bara na visiwani. Pia amebainisha kwamba ana imani vijana hao  100 ambao wamechaguliwa na kuweka kambi wataweza kuleta matokeo chanya na kwamba serikali itaendelea kushirikiana nao bega kwa bega na kuchukua mawazo yao ambayo watakwenda ku...

KUMEKUCHA CDF CUP 2026, NMB YAWEKA SH. MIL. 150

NENO LA SHUKRANI KWA MBUNGE ENOCK KOOLA WA JIMBO LA VUNJO

MWANYIKA ATAKA MASHARTI MAGUMU YAWEKWE KWA WANAOVUNA MITI BILA KUPANDA

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BUNGE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

PICHA ILIYOBAMBA ZIARA YA RAIS WA NAMIBIA WILAYANI KONGWA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 22, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA