Posts

ZATAJWA SABABU ZA MKUTANO WA WANAWAKE WA BUNGE LA MAZIWA MAKUU KUFANYIKA TANZANIA

  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeingia makubaliano na Jukwaa la Mabunge ya Nchi Ukanda wa Maziwa Makuu ambapo Tanzania imekubali kuandaa mkutano wa Wanawake wa Mabunge hayo utakaofanyika nchini mwezi Novemba 2- 5 Mwaka huu. Wanaoelezea kuhusu makubaliano baada kutiliana saini bungeni Jijini Dodoma Mei 13, 2026, Ni Katibu wa Bunge la Tanzania, Baraka Leonard na Deo Mwapinga Katibu Mkuu wa Jukwa la mabunge ya Nchi hizo.. Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu akizungumza baada ya kutiliana saini makaubaliano hayo. Katibu wa Bunge la Tanzania, Baraka Leonard na Deo Mwapinga Katibu Mkuu wa Jukwa la mabunge ya Nchi hizo..

ABIRIA WALIOTUMIA USAFIRI WA ANGA WAFIKIA MIL. 7

Ruth Zaipuna Kuipeleka NMB Jukwaa la Kimataifa Cambridge

SERIKALI KUTAFUTA SH. BIL. 4.6 KUTEKELEZA MRADI WA MAJI KIFANYA NJOMBE

MCHENGERWA KAMA USIPOKUWA NGANGARI UTACHOMOKA- SHABIBY

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATOKEO YA TAFITI ZA: UWEZESHAJI WA WANAWAKE NA LISHE PAMOJA NA TAFITI YA JINSIA NA MAZINGIRA*

MBUNGE LUTEVELE ATAKA ADA YA KUJIUNGA BIMA YA AFYA KWA WOTE IPUNGUZWE

NILIBAKI KUSTAAJABIA, ILA NIKAFURAHI KUONA SERIKALI IMEFANYA VIZURI KATIKA SEKTA YA AFYA - MWANDABILA

LUFUNGIJA AITAKA SERIKALI KUJENGA HOSPITALI YENYE HADHI YA WILAYA ULYANHULU

WAZIRI MCHENGERWA AOMBA SH. TRIL. 1.8 BAJETI WIZARA YA AFYA

NMB YAHIMIZA WANAWAKE DODOMA KURASIMISHA VIKUNDI KUPATA FURSA ZA KUFEDHA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

JKCI YAWAGUSA WANANCHI NJOMBE KUPITIA KAMPENI YA "JUWA NAMBA ZAKO"

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE