- Get link
- X
- Other Apps
Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR
Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye ubishani wa kawaida na kuhitimishwa kwa ushindi wa kihistoria. Ubishani huo ulianza tarehe 14 Januari 2026 kati ya Brown Anthony na bodaboda mwenzake Alex Ndile, ambapo walitofautiana kuhusu uwezekano wa kufika Dar es Salaam kwa pikipiki ndani ya muda wa masaa 13. Baada ya majadiliano makali, walikubaliana kuyaweka madai yao katika makubaliano rasmi ya kisheria. Makubaliano hayo yaliwekwa mbele ya mwanasheria Ambakisye Kibona, ambapo kila mmoja alikuwa na pikipiki yake binafsi, na pande zote zilikubaliana kuwa atakayeshindwa atalazimika kumpa mshindi pikipiki yake kama dau la makubaliano hayo. Baada ya makubaliano kukamilika, Brown Anthony alianza safari yake rasmi tarehe 15 Januari saa 11:00 asu...
ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO
Asante gwiji Yaya Touré, aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast! Ninaamini katika fair play, lakini sitakubali kamwe kudhulumiwa hadharani mbele ya dunia nzima. Nilivutiwa sana na mwitikio na uimara wa kisaikolojia wa Wasenegal jana: kuanzia benchi la ufundi, wachezaji hadi mashabiki—kila kitu kilikuwa sahihi kwa wakati muafaka. Hayo ndiyo maoni yangu. Sijali kabisa kinachoitwa fair play pale udhalimu unapojaribu kushinda na kuchafua urithi wangu. Sitakubali hilo, kamwe. Kama Senegal isingechukua hatua na kujibu kama walivyofanya jana, ingekuwa mwisho wao katika Kombe hili la Mataifa ya Afrika (AFCON). CAF na FIFA waadhibu waamuzi wote na hata soka ya Senegal maishani kote kama wanataka: nyota yao ya pili tayari iko mfukoni, na wameistahili kikamilifu. Hata jana, katikati ya mechi, wavulana wa kuokota mipira wa Morocco, pamoja na baadhi ya wachezaji wa Morocco waliokuwa benchi, walikuwa wakijaribu kumvuruga golikipa wa Senegal kwa kuchukua taulo yake, aliyohitaji kujifuta uso—h...
CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾
RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025
Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye, ametangaza zawadi kubwa kwa timu ya Taifa ya Senegal (Teranga Lions) pamoja na ujumbe wa taifa kufuatia ushindi wao wa AFCON. Kila mchezaji wa Teranga Lions: Faranga milioni 75 za CFA Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,500 Wajumbe wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Senegal: Faranga milioni 50 za CFA kila mmoja Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,000 kila mmoja Wajumbe wengine wa ujumbe wa taifa: Faranga milioni 20 za CFA kila mmoja Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 500 kila mmoja.
NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025
Timu ya taifa ya soka ya Senegal ilipokelewa kishujaa iliporejea nyumbani, huku maelfu ya mashabiki wenye furaha wakifurika barabarani kusherehekea ushindi wao wa AFCON. Kuanzia uwanja wa ndege hadi katikati ya jiji, wafuasi walipunga bendera, wakaimba nyimbo za kizalendo na kushangilia bila kukoma, wakitengeneza hali ya kipekee ya fahari ya kitaifa. Wachezaji na benchi la ufundi walionekana kuguswa sana na mapokezi makubwa yaliyojaa upendo na shukrani. Wengi walitenga muda kuwasalimu mashabiki, kupiga picha nao na kuwashukuru kwa sapoti yao isiyoyumba katika mashindano yote.
'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'
L🇷🇺 Majibu ya mtaalamu wa masuala ya kijeshi kutoka Urusi 🇷🇺 ANDRÉ MARTYANOV kuhusu vita 🎙 🛑 Kwa nini Marekani 🇺🇲 inaonekana kama kila mara inataka kuanzisha vita vya dunia? 👇🏿⁉️ 👉🏿 Jibu la André Martyanov: 🗣 “Marekani 🇺🇲 haijui maana halisi ya vita. Hakuna mtu yeyote nchini Marekani ambaye amewahi kupigana ili kuokoa familia yake wakati wa Vita Kuu, na hakuna askari wa Kimarekani aliyewahi kuona nyumba yake ikiteketea au watoto wake kuuawa kwa risasi na adui. Vita wanavyojua ni vile wanavyovipeleka kwa wengine, mbali na nchi yao.” 🤦♂️ 🌻 Anaongeza akisema: 🗣 “Tofauti kati ya Marekani na nchi kama Urusi 🇷🇺 au China 🇨🇳 ni kumbukumbu ya damu iliyomwagika. China ilipoteza mamilioni ya watu wakati wa vita dhidi ya Japan 🇯🇵, na Urusi pia ililipa gharama kubwa sana katika mapambano dhidi ya Wanazi. 😭 Hizi ndizo nchi zinazojua gharama ya vita halisi, na bado zina majeraha yake.” Lakini, kwa mujibu wake, Washington imejaa watu wanaotafuta maslahi yao binafsi tu, pamoja...
HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 11, 2026
TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA
Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) limetangaza orodha mpya ya timu bora duniani kwa mwaka 2026, ambapo Tanzania imepanda katika Orodha hiyo, ikiendelea kuimarisha hadhi yake katika soka la kimataifa. Orodha hiyo imetokana kwa kiasi kikubwa na matokeo ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Morocco wameongoza kwa kupanda kwa kiwango kikubwa zaidi barani Afrika, wakifikia nafasi ya nane duniani licha ya kupoteza fainali ya AFCON dhidi ya Senegal. Senegal nao wamepanda hadi nafasi ya 12 kutoka nafasi ya 17 waliyokuwa nayo mwaka 2024. Morocco mwaka jana walikuwa nafasi ya 11, huku nafasi yao bora kuwahi kushika ikiwa ya 10 mwaka 1998. Kwa timu nyingine za Afrika, Nigeria waliomaliza nafasi ya tatu AFCON wameorodheshwa nafasi ya 26, Misri wako nafasi ya 31, Cameroon nafasi ya 45, huku Gabon wakishuka hadi nafasi ya 86 baada ya kutolewa mapema. Katika orodha ya jumla, Hispania wanaongoza duniani wakifuatiwa na Argentina, Ufaransa, England na Brazil, huku Ureno na Uholanzi...
CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa uamuzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuzuiwa kufanya shughuli zake za kisiasa umetokana na maamuzi ya Mahakama Kuu, na siyo uamuzi wa CCM wala Serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Laban Kihongosi, Machi 19, 2025, Mzee Joseph Butiku alizungumza na waandishi wa habari na kueleza kwa hali ya kutoielewa misingi ya kisheria, kuwa CHADEMA imefungiwa kufanya shughuli zake wakati chama hicho kikiendelea. Taarifa hiyo ya leo Januari 21 imefafanua kuwa kuzuiwa kwa CHADEMA kulitokana na uamuzi wa Mahakama Kuu katika shauri la maombi madogo namba 8960 la mwaka 2025. Shauri hilo lilifunguliwa na wanachama watatu wa CHADEMA ambao ni Said Issa Mohammed, Ahmed Rashid Khamis na Maulidah Anna Komu, waliodai kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ameshindwa kutekeleza wajibu wake wa kikatiba kwa kuitisha vikao muhimu vya chama. Mahakama iliamua kuzuia CHADEMA kuen...