Posts

WIZARA, TAASISI NA UMMA NA BINAFSI NA MASHIRIKA YA KIRAIA YAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA MKUTANO WA COP 12

NA MWANDISHI WETU Serikali imezitaka Wizara, Taasisi za Umma, Sekta Binafsi, Watafiti na Mashirika ya Kiraia kuchangamkia fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP 12). Hayo yamesemwa leo Julai 2, 2026 Jijini Tanga na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa wakati akitoa tamko la Serikali kuhusu maandalizi ya Tanzania kuelekea Mkutano huo unaotarajia kufanyika nchini kuanzia tarehe 6-9 Oktoba mwaka huu. Naibu Waziri Kwagilwa amesema katika Mkutano wa 11 wa Nchi Wanachama uliofanyika nchini Madagasca mwaka 2024, Tanzania ilichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Mkataba wa Nairobi kwa kipindi cha miaka miwili hadi Disemba Mwaka 2026 pamoja na kuteuliwa kuwa mwenyeji wa COP12. “Mkutano wa COP12 utajadili utekelezaji wa Mpango Kazi wa Mkataba kwa kipindi cha mwaka 2024–2026 pamoja na kujadili masuala muhimu ikiwemo hifadhi na urejeshwaji wa mifumo ikolojia ya bahari kama mikoko, miamba ya matumbawe...

TUZO YA USIMAMIZI BORA WA TEHAMA YATUA CHUO CHA MIPANGO

RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

WAZIRI KAPINGA ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA NMB SABASABA

ELIMU YA SEKONDARI NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI*

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS JULAI 2, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA