Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Wasifu wa Kizza Besigye
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA
Ni nadra sana kusikia watoto wa Viongozi wakuu wa nchi hasa Rais hawajulikani, lakini Wakati wa Utawala wa Dkt John Magufuli Hilo liliwezekana aliiweka mbali sana familia yake na serikali, vyombo vya Habari na hata masikioni mwa watu. Katika kipindi chote Cha utawala wa Rais wa awamu ya Tano Dkt Magufuli, wengi walikosa kujua mengi kuhusu familia yake, jambo lililowafanya kuwa na faragha sana. Hata hivyo, kwenye mazishi ya kitaifa jijini Dodoma,2021 siri hizi zilifichuka. kwenye mazishi ya kitaifa jijini Dodoma, familia yake ilijulikana kuwa Dkt Magufuli ameacha watoto saba na wajukuu 10. Waziri Profesa Palamagamba Kabudi ambaye ndiye Alisoma wasifu huo wa JPM Alitaja watoto hao ni Suzzan John Magufuli, Edna John Magufuli, Joseph John Magufuli (pichani), Jesca John Magufuli, Ruth John Magufuli, Jurgen John Magufuli, Jeremiah John Magufuli na Juliana John Magufuli aliyefariki dunia wakati baba yake akiwa waziri. Jina maarufu kwa Watanzania mpaka Leo na wengi walimfahamu mwanaye tan...
KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA
KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...
#TANZIA: Mwandishi na mhariri mkongwe nchini, Revocatus Makaranga, amefariki dunia Machi 5, 2026 muda mfupi baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa ndugu wa karibu wa familia, Makaranga alikimbizwa katika kitengo cha dharura cha hospitali hiyo kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla. Inaelezwa kuwa licha ya jitihada za madaktari kumhudumia, alifariki muda mfupi baada ya kuwasili hospitalini. Marehemu Makaranga anakumbukwa kama mmoja wa waandishi na wahariri waliotoa mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha tasnia ya habari nchini Tanzania kwa miongo kadhaa. Katika maisha yake ya uandishi, aliwahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari vya umma wakati wa mfumo wa chama kimoja na baadaye katika kipindi cha mfumo wa vyama vingi. Aidha, aliwahi pia kufanya kazi katika vyombo vya habari vya sekta binafsi, ikiwemo kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na New Habari (200...
UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026
Benki ya NMB imetwaa tuzo tatu katika Tuzo za Euromoney Private Banking 2026 jijini London, ikishinda Benki Bora ya Huduma za Wateja Maalum Tanzania, Benki Salama Zaidi ya Huduma za Wateja Maalum na Benki Bora kwa Uendelevu Tanzania. Ushindi huo unazidi kuakisi uimara wa benki ya NMB yenye matawi 241 nchini na zaidi ya mawakala 73,000 pamoja na wateja zaidi ya 9.9 millioni, katika kutoa huduma mahususi kwa wateja, kuimarisha usalama wa fedha na kuongoza katika utekelezaji wa mikakati ya fedha endelevu. Mafanikio haya yanaendelea kuimarisha nafasi ya Benki ya NMB kama kinara wa ubunifu na mshirika wa maendeleo ya uchumi Tanzania.
AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE
Ikiwa wewe ni mwanamume mwenye maono, hatima (destiny), na kusudi, huwezi kuruhusu mwanamke asiye sahihi aharibu maisha yako. Biblia haimung’unyi maneno kuhusu hili; inakupa maonyo ya wazi na makali. Lakini wanaume wengi wanayapuuza na kuishia kufilisika, kuvunjika moyo, na kufungwa. Hizi hapa ni aina 10 za wanawake hatari ambao Maandiko na hekima ya kimungu vinakuamuru ukae nao mbali kabisa: 1️⃣ MWANAMKE MZINZI (Mithali 5:3–5) ☠️ Midomo yake inadondosha asali, maneno yake ni laini, lakini miguu yake inaelekea mauti. Ni hatari. Ataharibu hatima yako kwa tamaa za mwili. 2️⃣ MWANAMKE MGOMVI NA MWENYE KELELE (Mithali 21:9 & 25:24) ⛈️ Ni afadhali kukaa kwenye pembe ya dari au nyikani kuliko kukaa nyumba moja na mwanamke mgomvi. Atanyonya nafsi yako, atamaliza nguvu zako, na kuzika amani yako. 3️⃣ MWANAMKE MSENGENYAJI (1 Timotheo 5:13) 👅 Watu wasio na kazi, wanaozurura nyumba kwa nyumba, wakiongea mambo yasiyofaa na kupanda mbegu za fitina. Kinywa chake ni silaha ya maangamizi. Kaa nay...
MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA
Majani ya mpera yana faida nyingi za kiafya, lakini watu wengi hawajui thamani yake kubwa ya kitabibu. Yana vitamini A, B, na C, potasiamu, nyuzinyuzi (fiber), lycopene, quercetin, catechin na virutubisho vingine muhimu. Hapa chini ni baadhi ya faida zake: ▪️Afya ya Ubongo Vitamini B6 na B3 husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenda kwenye ubongo, kuongeza uwezo wa kufikiri, na kutuliza mishipa ya fahamu. ▪️Huongeza Kinga ya Mwili Chai ya majani ya mpera huimarisha kinga na kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa mbalimbali. ▪️Kupunguza Maumivu Quercetin husaidia kupunguza maumivu na kupambana na maambukizi. ▪️Msaada wa Hedhi Inaweza kusaidia kupunguza maumivu ya hedhi, kurekebisha mzunguko, na kupunguza usumbufu. ▪️Ngozi Kubaki Kijana Ina antioxidants zinazopambana na free radicals (husababisha kuzeeka). Majani yaliyosagwa yanaweza kutumika kama scrub ya asili. ▪️Kuboresha Macho Vitamini A husaidia kulinda uwezo wa kuona. ▪️Kuboresha Usingizi Hutuliza akili na kusaidia kupata usingizi k...
WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA
🚨 TAARIFA YA HARAKA Katika tukio lisilo la kawaida la kupinga amri za kijeshi, askari wa Jeshi la Marekani walioko kazini katika kambi kadhaa ndani ya Marekani na nje ya nchi wameanza kukataa wazi amri za kupelekwa vitani dhidi ya Iran, wakisema vita hivyo ni “haramu” na “kinyume cha Katiba.” Askari hao wanasema hawatashiriki katika kile wanachokiita “vita haramu vya uchokozi.” Video na kauli kutoka kambi kama vile Fort Liberty, Fort Hood, na Fort Campbell zinaonyesha askari wakiwa sare wakisema mambo kama haya: “Hivi si vita vya kujilinda. Hakuna tishio la haraka kwa taifa. Bunge halijatangaza vita. Hatutaenda kupigana wala kufa kwa ajili ya mafuta, siasa au makundi ya ushawishi wa nje. Tuliapa kulinda Katiba — si vita visivyoisha.” Inakadiriwa kuwa maelfu ya askari tayari wamekataa amri hizo, na idadi inaonekana kuongezeka haraka. Hii inatajwa kuwa upinzani mkubwa zaidi wa kijeshi tangu wakati wa Vietnam War. Mambo muhimu yaliyoripotiwa Vikosi kamili (platoon na kampuni) kusimamisha...