Posts

MWAMUZI ATAKAYETHUBUTU KUHARIBU DABI KUFUNGIWA, KUSHITAKIWA - KARIA

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia amesema mwamuzi yeyote atakayeharibu mchezo wa kesho wa dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, watamfungia maisha kujihusisha na mpira wa miguu. Akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa 20 wa TFF unaofanyika hapa Kahama, Karia, amesema mbali na kumfungia maisha pia watamfungulia mashataka. "Naomba niseme hapa kwenye mkutano mkuu na waamuzi wanisikie, atakayeharibu mchezo wa kesho hatutamuacha salama, malalamiko yamekuwa mengi na yanaharibu taswira ya mchezo," amesema Karia.  

*WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA KARDINALI PENGO, DAR ES SALAAM

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

MAREKANI YATOA TAHADHARI ZA KIUSALAMA KWA RAIA WAKE WANAISHI QATAR

WIZARA YA AFYA YATOA TAHADHARI TISHIO LA UVIKO 19, DENGUE, INFLUENZA, KIPINDUPINDU

RAIS SAMIA ATIA SAINI KITABU CHA RAMBIRANBI KIFO CHA KARDINALI PENGO

NMB YATOA ZAIDI SH. BIL. 12 KWA WAFANYABIASHARA 6,011

MACHIMBO 12 YA KUPATA WANAWAKE BORA ZAIDI;

OGOPA KUISHI BILA KUJARIBU: VUNJA HOFU, VUNJA UKIMYA, VUNJA MIPAKA

SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: MIUNDOMBINU NA UTALII VYAPIGA HATUA KUBWA - MSIGWA

KATIBU MKUU WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU) AWASILI NCHINI

AINA TOFAUTI ZA WANAUME

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO UJUMAA FEBRUARI 27, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

PUNGUZA STRESS....

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI