Posts

MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO

NA MWANDISHI WETU,  DODOMA Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu. Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma leo Juni 06, 2026. Ujenzi wa jengo hilo utagharimu kiasi cha Sh Milioni 326 ambapo mpaka sasa tayari kiasi cha Sh Milioni 228 kimeshatumika. Akizungumza mara baada ya kukagua na kuzindua ujenzi wa mradi huo, Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge, Ndugu Mwang'onda ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya Nishati kwa namna inavyoendelea kuboresha na kusogeza huduma za umeme kwenye maeneo mbalimbali nchini. Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Chamwino ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema ujenzi wa mradi wa jengo hilo ni muendelezo wa utekelezaji wa ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya umeme. Amesema ku...

VIJANA WENYE MAHITAJI MAALUM WAITWA CHUO CHA FURAHIKA KUPATA ELIMU YA UFUNDI BURE

RAIS SAMIA AWASILI NCHINI AKITOKEA ZIARA NCHINI URUSI

PUTIN AIKUBALI TANZANIA AELEZA JINSI ILIVYO MUHIMU

SAMIA ATANGAZA UTALII ALIPANIA SOKO LA URUSI

TANZANIA IKO TAYARI KWA BIASHARA, UWEKEZAJI NA UBUNIFU

BREAKING NEWS…!! SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNI 6, 2026

RAIS SAMIA AHUTUBIA KONGAMANO LA KIMATAIFA NCHINI URUSI

CHATANDA: MAGEUZI MAKUBWA YA KIMAENDELEO, SIRI YA RAIS SAMIA KUTUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA URUSI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA