Posts

CHATANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA WAHUSIKA GHASIA ZA UCHAGUZI

NA: MWANDISHI WETU, DODOMA Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu (MCC), Mary Chatanda, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuunda Tume ya Kuchunguza Wahusika wa Ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025. Chatanda ametoa pongezi hizo, Agosti 09, 2026, Jijini Dodoma. Amesema, Rais Dk. Samia ameonyesha dhamira ya kujenga upya taifa lenye umoja na mshikamano, ndiyo maana ameunda Tume hiyo. "Kipekee nimpongeze Rais wetu, Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuunda Tume yenye wataalamu na wabobezi wa masuala mbalimbali ya kisheria wa ndani na nje ya nchi, naamini kwa Hadidu za Rejea walizonazo, watakuja na majibu ya maswali mengi waliyonayo wananchi," amesema Chatanda. Vilevile, amesema, ni vyema wananchi wakaiacha Tume hiyo ifanye kazi yake kwa mujibu wa sheria badala ya kuikosoa kabla ya kutekeleza kazi yake. "Ipo kasumba mbaya kwa baadhi ya watu kukosoa Tume inapoundwa hata kabla haijaanza utekelezaji w...

MTANZANIA AMCHUMBIA BINTI WA RAIS WA KENYA

EACOP YAFADHILI VIJANA 17 KUSOMEA UFUNDI STADI VETA

Bei, Ladha na Chaguo; Mambo Yanayowafanya Watu Waizungumzie ORIJIN.

TRA NA WYFI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AIPONGEZA TAA KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA VIWANJA VYA NDEGE

KILA KILO INAYOPOTEA NI SHILINGI INAYOPOTEA - MENEJA FEDHA WA WMA ATOA SOMO NANE NANE

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 8,2026

WAKULIMA WA UFUTA IRINGA WALIPWA BIL 5.5

WAZIRI NANAUKA AIPONGEZA TARURA KWA MPANGO WA CBRM

BWAWA LA FARKWA TUMAINI JIPYA LA MAJI MKOANI DODOMA

UZALISHAJI MBEGU BORA WAPAA KWA 55.4% -TOSCI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥