Posts

HERSI ANENA MAKUBWA AKIZINDUA TAWI LA YAMGA BOTSWANA

Rais wa klabu hiyo, Mhandisi Hersi Said, ametoa kauli nzito kuhusu malengo ya klabu hiyo katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) akisisitiza kuwa malengo yao ni kufika mbali zaidi na hata kubeba ubingwa wa michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Young Africans SC nchini Botswana Injinia Hersi ameonesha azma na maandalizi thabiti waliyonayo msimu huu katika ngazi ya kimataifa ambapo amesema “Gaborone United ni timu nzuri lakini sisi pia tumejiandaa hatujaja hapa kizembe. Kama tukifika fainali basi hatutoliacha kombe.” Aidha Injinia Hersi ameeleza kuwa uzinduzi huo unatoa fursa kwa wanachama wa nje ya nchi (diaspora) kupata haki zao huku akilipongeza tawi hilo kwa kuwa na wanachama hai 63 na kubainisha kuwa kikatiba tawi linahitaji watu 20 tu ili kuidhinishwa, hivyo idadi yao ingeweza hata kuunda matawi matatu tofauti. Vile vile Injinia Hersi ameelezea ukuaji wa Chapa ya Dar es Salam Young Africans akibainisha kuwa tawi hilo lililozinduliwa jijini Gabo...

MVUA ZA EL NINO ZINASABABISHWA NA NINI?.

VETA YATEGUA KITENDAWILI CHA AJIRA

"SHERIA YA VIPIMO NI RAFIKI WA WOTE, MUUZAJI NA MNUNUZI"

PATALI AZIDI KUIKUMBUSHA SERIKALI UJENZI WA BARABARA YA MBALIZI - SHIGAMBA

BARABARA YA MAKAMBAKO - SONGEA IMECHAKAA SANA, UKARABATI UTAANZA LINI? - MWANYIKA

MHANDO AZIDI KUIBANA SERIKALI UJENZI WA OFISI YA MADINI KILINDI

UTABIRI WA HALI YA HEWA SAA 24 ZIJAZO

BILIONI 1.8 KULIPA FIDIA KWA WAATHIRIWA 996 KUPISHA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI WILAYANI RUANGWA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

MRADI WA UMEME MPOMVU – GGM KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI GEITA – SALOME

SERIKALI YASISITIZA UFAHAMU WA PAMOJA KATIKA KUIMARISHA DHANA YA UGATUZI WA MADARAKA KWA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA KATIKA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 4, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA