Posts

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 220 IGANJO–SAZA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA UCHIMBAJI WA MADINI – SALOME

NA MWANDISHI WETU NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovoti 220 kutoka Iganjo, Mkoani Mbeya, hadi Saza, Mkoani Songwe, pamoja na ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Saza, utaimarisha upatikanaji wa umeme katika mikoa hiyo na kuchochea shughuli za uzalishaji, hususan uchimbaji wa madini katika Wilaya za Chunya na Songwe. Akizungumza Septemba 11, 2026, katika Kijiji cha Saza, Wilaya ya Songwe, wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi huo, Naibu Waziri wa Nishati amesema kukamilika kwa mradi huo kutasaidia kuongeza uzalishaji, kuendeleza kilimo cha kisasa na biashara, pamoja na kupunguza changamoto ya upatikanaji wa umeme kwa wananchi na katika shughuli mbalimbali za kiuchumi. Aidha, amesema wakati Mradi wa Iganjo–Saza ukiendelea kutekelezwa, ni muhimu wananchi kufahamu maendeleo ya Mradi wa TAZA (Tanzania–Zambia Transmission Interconnector Project), ambao ni sehemu muhimu ya ...

NMB YAJIUNGA NA GOAT RACES KUCHAGiZA ELIMU YA VIJANA

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA NA MAWAZIRI WATOA POLE KWA RAIS SAMIA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 10, 2026

MFAHAMU LIA MUUAJI WA TANZANIA MWENYE ASILI YA KITANZANIA 🇹🇿

CLARA LUVANDA AVUNJA REKODI, ASAJILIWA KWA BIL. 5.28 MAREKANI

YANGA KUJENGA JENGO JWA SH. BIL. 5.5 KARIAKOO

NMB YAPANUA MALIPO YA KIDIJITALI KARIAKOO FESTIVAL

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA