Posts

NMB YAWEKA AFYA YA WATUMISHI MBELE SHIMISEMITA 2026*

Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya.  Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka halmashauri 184 nchini, huku NMB ikiendelea kuwa miongoni mwa wadau wanaoyaunga mkono. Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Wogofya Mfalamagoha, alisema ushiriki wa benki hiyo unatokana na imani kwamba mtumishi mwenye afya ana nafasi kubwa ya kuwa na tija na kutoa huduma bora kwa wananchi. Katika mashindano ya mwaka huu, NMB imetoa Sh milioni 34.5 pamoja na jezi kwa timu zitakazofuzu hatua ya robo fainali katika mpira wa miguu, wavu, pete na kikapu. Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, aliyemwakilisha Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, aliipongeza NMB kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika shughuli zinazochangia ustawi wa watumishi na wananchi. Alisema michezo inasaidia kujenga umoja na...

HAFLA YA UZINDUZI WA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE (JNHPP) MW 2115

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

RAIS DKT SAMIA MGENI RASMI UZINDUZI WA MRADI WA KUZALISHA NISHATI YA UMEME RUFIJI AGOSTI 22

NMB YAWAWEZESHA WAFANYABIASHARA TISA WA LUMUMBA MWANZA KUANZA UPYA

PROF. SHEMDOE AWAASA VIONGOZI SERIKALI ZA MITAA KUEPUKA MIGOGORO ILI KUONGEZA UFANISI WA HUDUMA KWA WANANCHI

WAZIRI KAIRUKI AZINDUA AWAMU YA PILI YA FAIBA MLANGONI KWAKO, ATOA MAELEKEZO MANNE KWA TTCL

LAAC YAWAWEKA 'KITIMOTO' VIONGOZI WA HALMASHAURI YA NKASI

LAAC YAZIONYA HALMASHAURI KUPUUZA, KUDHARAU HOJA ZA KAMATI ZA BUNGE, CAG

TAMISEMI, UDSM KUIMARISHA USHIRIKIANO WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MIUNDOMBINU

WB KUFIKIRIA KUUNGA MKONO MABORESHO YA ZIADA BANDARI DAR

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI