Posts

MZEE PINDA AONGOZA KUPANDA MITI DODOMA

Na Richard Mwaikenda, Dodoma Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda ameongoza kupanda miti 1000 katika eneo la Ndejengwa jijini Dodoma leo Februari 6, 2026. Katika shughuli hiyo  iliyoandaliwa na Taasisi ya Habari Conservation,Mzee Pinda ambaye ni mlezi wa taasisi hiyo aliongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ambaye pia alipanda mti wa kumbukumbu. Pia walishiriki wanafunzi na wananchi wanaoishi karibu na eneo hilo wazi ambalo kwa mujibu wa Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Loyce Joseph amesema wataligeuza kuwa msitu wenye miti ya kivuli na matunda jambo ambalo litakuwa linavutia watu kwenda kutembelea na kufanya sherehe zao ndogo ndogo. Shughuli hiyo imedhaminiwa kwa asilimia kubwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) ambayo Mkurugenzi wake Mkuu ni CPA. Dennis Simba ambaye pia yeye na watumishi wake  walishiriki kupanda miti. Mzee Pinda, na Mkuu wa Mkoa Senyamule wameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa kwa asilimia kubwa ...

MATUKIO YA MBUNGE MARTHA GIDO BUNGENI DODOMA

MWANYIKA ATAJA SHULE TATU ZINAZOTAKIWA KUPANDISHWA HADHI NJOMBE

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MIL, 105, SHULE, HOSPITALI MKOANI MANYARA

MATUKIO YA MBUNGE WA KYELA MWAMENGO BUNGENI DODOMA

MATUKIO YA MBUNGE MWANYIKA BUNGENI DODOMA

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA NDUGU JOHN MONGELLA ASIKILIZA KERO NA MAONI YA MABALOZI JIJINI MWANZA

VIONGOZI WA UWT WAMLILIA MUNDE TAMBWE

PROF. MUHONGO ACHANGIA KWA KINA DIRA YA 2050

SERIKALI KUANZISHA USAFIRI MAALUMU WA MABASI YA MWENDOKASI KWA WANAFUNZI

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA