Posts

SERIKALI KUPELEKA UMEME MITAA 14 ILIYOSALIA TARIME MJINI

NA MWANDISHI WETU, DODOMA NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imepanga kupeleka umeme katika mitaa 14 iliyosalia bila huduma hiyo katika Mji wa Tarime, kwa kuhakikisha mitaa yote inafikiwa na umeme. Salome amesema hayo leo, Juni 8, 2026, Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini, aliyetaka kujua ni lini umeme utafika katika mitaa yote isiyo na umeme katika Mji wa Tarime. Amesema Mji wa Tarime una jumla ya mitaa 81, ambapo mitaa 54 ina umeme na mitaa 27 haina umeme. Amefafanua kuwa kati ya mitaa 27 isiyo na umeme, mkandarasi anaendelea na kazi katika mitaa 13 na hadi sasa ameshasimamisha nguzo huku akijiandaa kuanza kufunga nyaya. Aidha, Salome amesema Serikali kupitia TANESCO imepanga kupeleka umeme katika mitaa iliyosalia kulingana na upatikanaji wa fedha, kwa lengo la kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 kila mtaa nchini umefikiwa na huduma ya umeme. Kadhalika, Salome ametumia nafas...

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA

TANZANIA HAICHAGUI MARAFIKI WA KUTEKELEZA DIRA 2050 - PROF MKUMBO

MWANAMKE, ACHA KUFANYA MAMBO HAYA KWA MWANAUME AMBAYE BADO HAJAKUOA

USIYO YAJUA KUHUSU ANGE KAGAME

VETA HARAKISHENI MAKUBALIANO NA SUPERDOLL MAFUNZO KWA VITENDO KWA VIJANA YAANZE- WANU

WAZIRI SANGU AIELEZA ILO MAMBO SITA YANAYOIPAISHA TANZANIA KATIKA SEKTA YA KAZI

DKT. MAJULE AITAKA SERIKALI KUELEIMISHA WANAWAKE KUHUSU ALAMA ZA BIASHARA

MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO

VIJANA WENYE MAHITAJI MAALUM WAITWA CHUO CHA FURAHIKA KUPATA ELIMU YA UFUNDI BURE

RAIS SAMIA AWASILI NCHINI AKITOKEA ZIARA NCHINI URUSI

PUTIN AIKUBALI TANZANIA AELEZA JINSI ILIVYO MUHIMU

SAMIA ATANGAZA UTALII ALIPANIA SOKO LA URUSI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA