Posts

ABIRIA WALIOTUMIA USAFIRI WA ANGA WAFIKIA MIL. 7

  Katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, abiria waliotumia usafiri wa anga waliongezeka na kufikia abiria Milioni 6.81 ikilinganishwa na abiria Milioni 6.037 katika kipindi kama hicho cha mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ongezeko la asilimia 12.63.  Kwa upande wa mizigo kati ka kipindi hicho, jumla ya tani 34,750.2 zilisafirishwa ndani na nje ya nchi, ikilinganishwa na tani 33,112.5 zilizosafirishwa ndani na nje ya nchi katika kipindi kama hicho mwaka 2024/25. Hayo yameelezwa na Wazari wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa  alipokuwa akiwasilisha hotuba ya makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 13, 2026.

Ruth Zaipuna Kuipeleka NMB Jukwaa la Kimataifa Cambridge

MBUNGE KIGOMA MJINI CLEYTON CHIPANDO ATAKA KITENGO CHA ELIMULISHE

SERIKALI KUTAFUTA SH. BIL. 4.6 KUTEKELEZA MRADI WA MAJI KIFANYA NJOMBE

MCHENGERWA KAMA USIPOKUWA NGANGARI UTACHOMOKA- SHABIBY

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATOKEO YA TAFITI ZA: UWEZESHAJI WA WANAWAKE NA LISHE PAMOJA NA TAFITI YA JINSIA NA MAZINGIRA*

MBUNGE LUTEVELE ATAKA ADA YA KUJIUNGA BIMA YA AFYA KWA WOTE IPUNGUZWE

NILIBAKI KUSTAAJABIA, ILA NIKAFURAHI KUONA SERIKALI IMEFANYA VIZURI KATIKA SEKTA YA AFYA - MWANDABILA

LUFUNGIJA AITAKA SERIKALI KUJENGA HOSPITALI YENYE HADHI YA WILAYA ULYANHULU

WAZIRI MCHENGERWA AOMBA SH. TRIL. 1.8 BAJETI WIZARA YA AFYA

NMB YAHIMIZA WANAWAKE DODOMA KURASIMISHA VIKUNDI KUPATA FURSA ZA KUFEDHA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

JKCI YAWAGUSA WANANCHI NJOMBE KUPITIA KAMPENI YA "JUWA NAMBA ZAKO"

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI