Posts

NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8

 Benki ya NMB imesema uwekezaji wake katika mifumo ya kidijitali ya ukusanyaji wa mapato umeisaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8 kupitia majukwaa yake tangu mwaka 2018.  Mafanikio hayo yalielezwa Arusha wakati wa mkutano mkuu maalum wa uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Akizungumza katika mkutano huo, Mkurugenzi wa Uhusiano wa Wawekezaji, Uendelevu na Mawasiliano wa NMB, Innocent Yonazi, alisema hatua hiyo imetokana na ushirikiano wa karibu kati ya benki hiyo na taasisi za umma katika kuboresha usimamizi wa mapato ya Serikali. Alisema NMB imewekeza katika mifumo ya kisasa ya malipo inayorahisisha malipo ya Serikali kwa wananchi, wafanyabiashara na taasisi mbalimbali kwa uwazi, urahisi na ufanisi mkubwa, huku ikisaidia kupunguza mianya ya upotevu wa mapato. Yonazi alisema pia benki hiyo imeendelea kupanua wigo wa ujumuishaji wa kifedha nchini kwa kufikia zaidi ya vijiji 3,000 na kufungua zaidi ya akaunti milioni mbili mpya. Aliong...

SERIKALI KUJENGA VIWANJA WA WATAZAMAJI 60,000 MWANZA NA MBEYA

SAFARI YA MAISHA YA PROFESA MARK MWANDOSYA

WANAOWANIA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI WAITWA CCM

KATIBU MKUU CCM, UJUMBE MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE AFRIKA WAFANYA MAZUNGUMZO

MAMBO YA BUNGENI DODOMA

NMB YATOA SH. MIL. 100 KUDHAMINI MKUTANO MKUU WA 40 WA ALAT

FEDHA ZIMESAINIWA, UJENZI MRADI WA MAJI UTAANDA LINI - KASAKA

SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI

SERIKALI KUTENGA ENEO LA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA MISITU, PARACHICHI

KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026

MATUKIO YA MBUNGE MWALUNENGE BUNGENI DODOMA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.

CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA