Posts

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA JENGO CHUO CHA UJENZI MOROGORO

. Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiongozwa na Kaimu Mwenyekiti, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako,  Machi 12, 2026 wamewasili mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya kukagua Maendeleo ya Miradi  chini ya Wizara ya Ujenzi. Mara baada ya kuwasili, wajumbe hao wamepokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa Dkt. Mussa Ali Mussa, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa. Katika ziara hiyo, kamati imepokea Taarifa na kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa jengo la Taaluma katika Chuo cha Teknolojia ya Ujenzi (Institute of Construction Technology – ICoT). Kamati imeeleza kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo, ambapo imebainishwa kuwa hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 74 na unatarajiwa kukamilika mwezi Juni 2026. Ziara hiyo pia imehudhuriwa na Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde, pamoja na watendaji wengine wa wizara.  

CRDB BANK MKOANI MOROGORO YAFUTURISHA

VIONGOZI WA TACAS WAKUTANA NA SPIKA, MWENYEKITI WA KAMATI BUNGENI

MBUNGE DKT. MECKTRIDIS ATOA FEDHA KUWEKA MFUMO WA MAJI KITUO CHA AFYA ITETE ‎

WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA 10 CBE

CCM YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA UMOJA WA MATAIFA MAKAO MAKUU YA DODOMA

KUNA NDOTO NYINGI ZA WANAWAKE TANZANIA, NA SASA NMB JASIRI IMEZINDULIWA RASMI KUZIFUNGUA

DKT. MAFUMIKO AELEZA TARATIBU ZA KUPIMA VINASABA (DNA)

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)