Posts

ASIYE UTAKA MUUNGANO AONDOKE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hamza Hassan Juma amesema Zanzibar haina ubaguzi kwa wananchi wa Tanzania Bara, akisisitiza kuwa pande zote mbili zimechangamana kijamii na kiuchumi kupitia Muungano. Akizungumza leo katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati wa mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Hamza amesema kuna upotoshaji unaodai kuwa watu kutoka Tanzania Bara hawapati huduma sawa visiwani humo. Amesema madai hayo si ya kweli, akieleza kuwa wananchi wa pande zote wamekuwa wakiishi na kufanya shughuli zao katika maeneo yote ya Muungano bila vikwazo. “Kuna wanaopotosha kwamba watu kutoka Bara hawatibiwi, sio kweli. Zanzibar hakuna ubaguzi,” amesema Hamza. Ameongeza kuwa Watanzania wa Zanzibar wamejenga familia katika maeneo mbalimbali ya Tanzania Bara, na pia wananchi wa Bara wanaishi na kufanya kazi Zanzibar, jambo linaloimarisha mshikamano wa Muungano.  

HAWA NDIYO WALIOWAHI KUSHIKA NAFASI YA KATIBU MKUU KIONGOZI TANZANIA

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

MWALUNENGE ATETA NA WAZIRI MKUU DKT. NCHEMBA BUNGENI

WAZIRI RIDHIWANI APONGEZA MCHANGO WA TEA KWENYE ELIMU

SANGU :MAHUSIANO MEMA NI MSINGI WA KUIMARISHA UMOJA NA DEMOKRASIA NCHINI

OWM YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

PBPA YASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026 DODOMA

TANESCO MUONGEZE VITUO VYA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VINAVYOTUMIA UMEME – WAZIRI RIDHIWANI

MWANYIKA AZIDI KUPAMBANIA UJENZI WA BARABARA YA ITONI - LUSITU

MWENYEKITI UWT MKOA WA PWANI ATUA KIBAHA MJI APANIA KULETA MAGEUZI YA KIUCHUMI KWA WANAWAKE

NMB YAZINDUA SUPER APP, ELIMU YA FEDHA YAPEWA KIPAO MBELE

TANESCO YAKAMILISHA MIRADI YA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME DODOMA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA