Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATOKEO YA TAFITI ZA: UWEZESHAJI WA WANAWAKE NA LISHE PAMOJA NA TAFITI YA JINSIA NA MAZINGIRA*
WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATOKEO YA TAFITI ZA: UWEZESHAJI WA WANAWAKE NA LISHE PAMOJA NA TAFITI YA JINSIA NA MAZINGIRA*
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
NILIBAKI KUSTAAJABIA, ILA NIKAFURAHI KUONA SERIKALI IMEFANYA VIZURI KATIKA SEKTA YA AFYA - MWANDABILA
NILIBAKI KUSTAAJABIA, ILA NIKAFURAHI KUONA SERIKALI IMEFANYA VIZURI KATIKA SEKTA YA AFYA - MWANDABILA
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Mwenyekiti wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akiongoza mjadala wa wabunge kuhusu makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2026-2027 unaoendelea bungeni Dodoma Aprili 9, 2026. Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuupatia Mkoa wa Njombe miradi mingi ya maendeleo kikiwemo Chuo Kikuu. Aidha, Mwanyika akichangia hotuba ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma Aprili 14, 2026 hajasita kueleza ukweli kwamba bila kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Itoni - Lusitu mradi wa chuma wa Liganga hautakuwa na maana, kwani unategemea sana barabara hiyo.
Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
Wasifu wa Kizza Besigye
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
SPIKA ZUNGU ATETA JAMBO NA MBUNGE MTASINGWA BUNGENI
🟩🟨⬛MWANANCHI! TUNAJUA UNAJUA ila tunakukumbusha tu vyeo vitano vizito vya Eng. Hersi Said (@caamil_88). Fuatilia kwa umakini tafadhali... 1️⃣Rais wa Klabu Kubwa Afrika Mashariki, Young Africans 2️⃣Mjumbe wa kamati tendaji ya Shirikisho la mpira wa Miguu Afrika - CAF. 3️⃣Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika - ACA 4️⃣Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Wanaume ya shirikisho la mpira wa miguu Duniani - FIFA 5️⃣Balozi wa Lugha ya Kiswahili duniani. Mwananchi! Vyeo vikubwa vinaendelea kumfuata Rais wetu, Hersi Said. Kuwa mkweli unasubiri kuona cheo gani kikubwa zaidi kwa mwamba? #phupdates #daimambelenyumamwiko
TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO
: Mwandishi wa habari wa mkoa wa Kigoma, Editha Karlo, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Kigoma, Jacob Ruvilo, aliyesema kuwa marehemu alifariki Jumatano mchana Aprili 28,2026 akiwa nyumbani kwao wilayani Kasulu. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kabla ya umauti wake marehemu alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, alieleza nia yake ya kuona nchi za Afrika Mashariki Kenya, Uganda na Tanzania zikiunganishwa na kuwa taifa moja lenye nguvu kiuchumi na kisiasa. Akizungumza katika moja ya hotuba zake kuhusu ushirikiano wa kikanda, Museveni alisisitiza kuwa muungano huo ungeleta manufaa makubwa, hasa katika matumizi ya rasilimali na miundombinu. Alieleza kuwa upatikanaji wa Bahari ya Hindi ungekuwa wa pamoja kwa nchi zote, hatua ambayo ingeimarisha biashara ya kimataifa na kupunguza gharama za usafirishaji kwa mataifa yasiyo na bandari kama Uganda. Museveni pia aligusia umuhimu wa rasilimali zilizopo ndani ya ukanda huo, akisema kuwa kuziunganisha kungeongeza thamani yake na kuwezesha maendeleo ya haraka. Kwa mtazamo wake, nchi hizo zina nguvu kubwa ya pamoja katika kilimo, madini, utalii na nguvu kazi ya vijana, lakini zinahitaji mfumo wa pamoja ili kufikia mafanikio makubwa zaidi. Kauli hiyo imepokelewa kwa mitazamo tofauti miongoni mwa wachambuzi wa siasa na wa...