- Get link
- X
- Other Apps
Posts
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
WAZIRI KIKWETE : SERIKALI ITAENDELEA KUWAHUDUMIA NA KUWAENZI VIONGOZI WA KITAIFA WASTAAFU KWA MCHANGO WAO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
WAZIRI KIKWETE : SERIKALI ITAENDELEA KUWAHUDUMIA NA KUWAENZI VIONGOZI WA KITAIFA WASTAAFU KWA MCHANGO WAO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
- Get link
- X
- Other Apps
- Get link
- X
- Other Apps
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA
Mapambano yanaendelea Huyu pichani ni Ayatollah Mpya wa wa muda wa Iran 👉Iran imepata Ayatollah mpya wa Muda Ayatollah Alireza Arafi, ambaye alikuwa kiongozi wa zamani wa shule za kidini/seminari za Iran na mkuu wa Qom Friday, ameteuliwa na Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu takriban 88 kuiongoza Iran Kwa sasa Ayatollah Alireza Arafi ndio Kiongozi Mkuu wa kiroho na Serikali wa Muda mpaka Atakapo Thibitishwa au kuchaguliwa mwingine na baraza la wanazuoni wa Kiislamu wapatao 88. Fahamu kua Ayatollah ni mfumo sio mtu. Ayatollah Alireza Arafi ni mwanazuoni wa Kiislamu wa na kiongozi wa kidini na kisiasa kutoka Iran ambaye amekuwa mmoja wa makasisi wenye ushawishi mkubwa ndani ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu. Alizaliwa mwaka👉1959, Meybod, Iran Hizi ni Nafasi muhimu alizowahi kushika 👉Mwanachama wa Baraza la Walinzi 👉Mwanachama wa Baraza la Wataalam 👉Mkuu wa seminari za kidini Iran 👉Imam wa sala ya Ijumaa mjini Qom 👉Mkuu wa Chuo cha kimataifa cha ...
MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalumu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule (katikati) ametoa msaada wa vyakula, vinywaji, vifaa vya usafi na vyandarua 100 kwa Shule ya Viziwi Dodoma, katika tukio lililofanyika Februari 21, 2026 katika shule hiyo iliyopo Kisasa jijini Dodoma. Katika tukio hilo, Dkt. Majule ambaye yupo mstari wa mbele kujitotea kwa hali na mali katika masuala ya kijamii na hasa kwa watu wenye uhitaji maalumu, alitoa mchele, unga, mafuta, sukari, vinywaji, sabuni, fagio, kalamu, madaftari na pedi kwa ajili ya mabinti. Kabla ya makabidhiano ya msaada huo, Dkt. Majule alipata wasaa wa kutembelea na kujionea jinsi wanafunzi wanavyopata mafunzo kwa njia ya vitendo ikiwemo ushonaji, kompyuta, ufundi umeme na uselemala lakini pia mchezo wa pooltable. Mkuu wa shule hiyo, Awadhi Mbogo alitoa shukrani kwa kitendo cha mbunge huyo kuamua kutoa msaada huo mkubwa kwa shule hiyo na kwa aendelee na moy...
Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
Wasifu wa Kizza Besigye
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...
#TANZIA: Mwandishi na mhariri mkongwe nchini, Revocatus Makaranga, amefariki dunia Machi 5, 2026 muda mfupi baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa ndugu wa karibu wa familia, Makaranga alikimbizwa katika kitengo cha dharura cha hospitali hiyo kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla. Inaelezwa kuwa licha ya jitihada za madaktari kumhudumia, alifariki muda mfupi baada ya kuwasili hospitalini. Marehemu Makaranga anakumbukwa kama mmoja wa waandishi na wahariri waliotoa mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha tasnia ya habari nchini Tanzania kwa miongo kadhaa. Katika maisha yake ya uandishi, aliwahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari vya umma wakati wa mfumo wa chama kimoja na baadaye katika kipindi cha mfumo wa vyama vingi. Aidha, aliwahi pia kufanya kazi katika vyombo vya habari vya sekta binafsi, ikiwemo kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na New Habari (200...
KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?
Na Cosmasy William Choga Jibu ni kwamba mara nyingi hutumika rangi nyeupe badala ya nyeusi au zambarau kwa sababu nyeupe ni rangi ya Ufufuko na tumaini la uzima wa milele. Kwenye teolojia ya Kikatoliki, Misa ya mazishi si tu maombolezo, bali ni ibada ya matumaini kwamba marehemu anashiriki katika ushindi wa Kristo dhidi ya kifo. Hivyo, kwa viongozi wa Kanisa waliolitumikia kwa hadhi ya juu kama Kardinali huchukuliwa zaidi kwenye fumbo la Pasaka kuliko huzuni. Kardinali ni mshiriki wa Baraza la Makardinali chini ya Papa, na mazishi yake yanafanyika kwa heshima ya kiutume. Nyeupe inaonyesha heshima ya liturujia na hadhi ya ofisi aliyokua nayo, pamoja na ishara ya ushindi wa imani aliyouhubiri. Tokea marekebisho ya liturujia baada ya Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatikano, Kanisa liliruhusu matumizi ya rangi nyeupe katika Misa za wafu ili kuonyesha zaidi matumaini ya Kikristo kuliko alama ya maombolezo mazito ya kale. Lakini ikumbukwe kuwa si laz...
KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA
Ni nadra sana kusikia watoto wa Viongozi wakuu wa nchi hasa Rais hawajulikani, lakini Wakati wa Utawala wa Dkt John Magufuli Hilo liliwezekana aliiweka mbali sana familia yake na serikali, vyombo vya Habari na hata masikioni mwa watu. Katika kipindi chote Cha utawala wa Rais wa awamu ya Tano Dkt Magufuli, wengi walikosa kujua mengi kuhusu familia yake, jambo lililowafanya kuwa na faragha sana. Hata hivyo, kwenye mazishi ya kitaifa jijini Dodoma,2021 siri hizi zilifichuka. kwenye mazishi ya kitaifa jijini Dodoma, familia yake ilijulikana kuwa Dkt Magufuli ameacha watoto saba na wajukuu 10. Waziri Profesa Palamagamba Kabudi ambaye ndiye Alisoma wasifu huo wa JPM Alitaja watoto hao ni Suzzan John Magufuli, Edna John Magufuli, Joseph John Magufuli (pichani), Jesca John Magufuli, Ruth John Magufuli, Jurgen John Magufuli, Jeremiah John Magufuli na Juliana John Magufuli aliyefariki dunia wakati baba yake akiwa waziri. Jina maarufu kwa Watanzania mpaka Leo na wengi walimfahamu mwanaye tan...
MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)
Taswira ya Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 24 Februari, 2026. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga light pistol juu kuashiria uzinduzi wa jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma tarehe 24 Februari, 2026. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi bendera Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda. Akikabidhi ufunguo wa jengo hilo kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo S. Nyansaho . Akipigiwa wimbo wa Taifa na baadaye kupigwa mizinga. Akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi. Baadhi ya waambata wa majeshi wanaoziwakilisha nchi zao nchini. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Maafisa Askari, Watumishi wa umma na wageni mbalimbali waliohudhuri...
WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.
Taratibu za kikatiba za serikali ya Kiislam ya Iran, taratibu za kumchagua mrithi wa kiongozi mkuu ndio jukumu la kwanza la baraza la wataalam. Chombo kimepewa jukumu la kumuangalia kiongozi aliopo na kuchagua mrithi wake kulingana na dini na wasifu/muelekeo wake kisiasa. Tayari kuna watu watano wanaotazamwa kumrithi kiongozi wa sasa endapo atafariki au kushindwa kuendelea na majukumu yake. 1. Mojtaba Khamenei, huyu ni kijana wa pili wa kiongozi wa sasa, anapewa nafasi kubwa kumrithi Baba yake kutokana na ukaribu walionao pamoja na ushawishi wake ndani ya jeshi la Iran 🇮🇷. Ana fikra na misimamo kama ya baba yake. 2. Alireza Arafi, kiongozi wa dini mwenye cheo cha juu na kiongozi wa Iran Seminaries pia makamu mwenyekiti wa baraza la wataalam (wafanya maamuzi). Anaaminika kuwa muendelezo wa Ally Khamenei. Anaaminiwa zaidi na viongozi wa dini na wanasiasa. 3. Gholan Hussein, Kiongozi wa juu wa mahakama na jasusi mstaafu. Ana maelewano makubwa na vyombo vya ulinzi pia ni kipenzi cha...