Posts

TANZANIA, SINGAPORE KUIMARISHA BIASHARA, UWEKEZAJI NA MAENDELEO YA VIJANA

NA MWANDISHI WETU RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Singapore zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika biashara, uwekezaji, maendeleo ya vijana, uchumi wa kidijitali na usalama wa chakula kufuatia mazungumzo ya kihistoria yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa ziara ya kwanza ya kiserikali ya Rais wa Singapore, , nchini Tanzania, hatua ambayo pia imeadhimisha miaka 45 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo mawili. Akizungumza baada ya mazungumzo rasmi, Rais Samia alisema Tanzania na Singapore zimefanya tathmini ya ushirikiano uliopo na kukubaliana kuendelea kushirikiana zaidi ili kuleta manufaa makubwa kwa wananchi wa nchi zote mbili. Alisema kiwango cha sasa cha biashara kati ya Tanzania na Singapore kinakadiriwa kufikia dola za Marekani milioni 299 huku Singapore ikiwa na miradi 36 ya uwekezaji nchini Tanzania, kiwango ambacho hakilingani na ukubwa wa urafiki uliopo kati ya mataifa hayo. "Tumekubaliana kuongez...

KINDA LA TANZANIA LATUA FC BARCELONA

RAIS WA SINGAPORE AWASILI NCHINI

HAPI APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI DODOMA.

BENKI YA NMB YATANGAZA KUINGIA AWAMU MPYA YA UKUAJI BAADA YA KUREKODI FAIDA YA KODI ZAIDI YA SH TRILIONI MOJA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JUNI 9, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA