HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAGEUKA KITOVU CHA TIBA AFRIKA MASHARIKI, MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE WAMIMINIKA DODOMA- MSIGWA
HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAGEUKA KITOVU CHA TIBA AFRIKA MASHARIKI, MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE WAMIMINIKA DODOMA- MSIGWA
Na Richard Mwaikenda, Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeendelea kujijengea sifa kimataifa baada ya maelfu ya wagonjwa kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kati kumiminika nchini kupata huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi, kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali imewekeza jumla ya shilingi bilioni 283 kuanzia mwaka 2015 hadi 2026 kwa lengo la kuifanya Hospitali ya Benjamin Mkapa kuwa kituo cha kisasa cha tiba kinachokidhi viwango vya kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 22, 2026 kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, Msigwa alisema uwekezaji huo umeiwezesha hospitali hiyo kutoa huduma ambazo awali zilipatikana katika mataifa machache duniani. Kutokana na mafanikio hayo, wagonjwa 2,897 kutoka Burundi na 526 kutoka Comoro wamepata huduma katika hospitali hiyo, huku wagonjwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...
- Get link
- X
- Other Apps