Posts

 Afrika na Waafrika ni lazima tuamke. Tumelala mno! Tuliuzwa sokoni kama bidhaa wakati wa utumwa; Tulinyonywa, kukandamizwa na kuvuliwa utu wetu, wakati wa ukoloni; Tumeendelea kuhadaiwa na mfumo wa ukoloni mamboleo, kwamba sisi ni maskini tunaohitaji kusaidiwa; Unasaidiwaje na walewale waliokuuza sokoni kama kuku, wakati walikuja kuiba rasilmali zako, ambazo wanazihitaji na kuzifuata hadi leo? Tafiti zinathibitisha kuwa kila Shilingi moja inayokuja Afrika kama msaada, wao  wanachukua Shilingi mbili!Hapa ni nani anamsaidia mwingine? Imekuwaje leo, wasomi wa Afrika hawazungumzii kwa sauti suala hili, wakati liko wazi? Je, ni kwa sababu wanalamba asali ya mabeberu? Inakuwaje John Perkins, ktk vitabu vyake vya 'Confessions of an Economic Hitman' anaeleza wazi michezo wanayoicheza mabeberu Afrika na bado Waafrika hawaelewi na hawaamki? Je, ni kwamba Waafrika ni watu wasioweza kung'amua mambo au ni kwamba wamepigwa juju na mabeberu? Je, ni kwa nini ktk historia niliyosoma kuhusu...

DCEA YATAKA MADEREVA NA MAKONDAKTA KUFUATA SHERIA ZA USAFIRISHAJI WA MIZIGO

JKT YAREJEA WITO KWA VIJANA WALIOCHELEWA KURIPOTI MAKAMBINI, WARUHUSIWA KURIPOTI HADI JUNI 15, 2026

WADAU 3,000 KUKUTANA DODOMA JUKWAA LA NGOs 2026

MWANYIKA AZIDI KUIBANA SERIKALI UJENZI WA BARABARA ZA VIJIJINI JIMBO LA NJOMNE MJINI

MATUKIO YA UWASILISHWAJI WA BAJETI KUU YA SERIKALI BUNGENI DODOMA

KIKWETE AKUTANA NA MSHARI WA TRUMP PEMBEZONI MWA MKUTANO WA OSLO FORUM

WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA KITUO CHA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VYA UMEME – DODOMA

Mgawanyo wa hisa NMB wafungua mlango kwa wawekezaji wapya

MAKALA :Uchumi wa Nyuklia: Uchambuzi wa akiba ya urani ya Mkuju na maono ya Rais Samia ya kinu cha kwanza mwaka 2029

MAPENDEKEZO 121 KATI YA 727 YA KODI, TOZO, ADA YAKUBALIWA BAJETI KUU

USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034 - SALOME

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda