Posts

HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAGEUKA KITOVU CHA TIBA AFRIKA MASHARIKI, MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE WAMIMINIKA DODOMA- MSIGWA

Na Richard Mwaikenda, Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeendelea kujijengea sifa kimataifa baada ya maelfu ya wagonjwa kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kati kumiminika nchini kupata huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi, kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali imewekeza jumla ya shilingi bilioni 283 kuanzia mwaka 2015 hadi 2026 kwa lengo la kuifanya Hospitali ya Benjamin Mkapa kuwa kituo cha kisasa cha tiba kinachokidhi viwango vya kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 22, 2026 kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, Msigwa alisema uwekezaji huo umeiwezesha hospitali hiyo kutoa huduma ambazo awali zilipatikana katika mataifa machache duniani. Kutokana na mafanikio hayo, wagonjwa 2,897 kutoka Burundi na 526 kutoka Comoro wamepata huduma katika hospitali hiyo, huku wagonjwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...

TAARIFA YA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI NDUGU GERSON MSIGWA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA WANANCHI – JIJINI DODOMA TAREHE 22 JULAI, 2026

NMB YAWEKEZA SH. BIL. 224 MKOPO KATIKA MGODI WA DHAHABU WA GEITA.

MSIGWA APATA SUPU KWA MAMA NTILIE AKAGUA HALI YA SOKO LA MACHINGA DODOMA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 22, 2026

RAIS SAMIA AWASILI ACCRA GHANA

RAIS SAMIA AMTEUA SALUM NASSORO KUWA MKURUGENZI WA EWURA

_DKT MWIGULU: AFRIKA IGEUZE MABADILIKO YA DUNIA KUWA FURSA ZA MAENDELEO_

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎