Posts

WAZIRI SANGU AHAMASISHA WAJASIRIAMALI KUJISAJILI KUSHIRIKI MAONESHO NCHINI RWANDA

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus C. Sangu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, leo Julai 23, 2026,kuhusu Tanzania kushiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo (Juakali) ya Afrika Mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Oktoba mwaka huu.  Na: Mwandishi Wetu, SUMBAWANGA Serikali imetangaza kuwa Tanzania itashiriki Maonesho ya 26 ya Wajasiriamali Wadogowadogo, Wadogo na wa Kati (MSMEs) ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, maarufu kama Nguvu Kazi/Jua Kali, yatakayofanyika jijini Kigali, Rwanda kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 8, 2026. Akitoa taarifa kwa umma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amesema Tanzania itawakilishwa na wajasiriamali 250 kati ya washiriki wapatao 1,000 wanaotarajiwa kutoka nchi nane wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Amesema kaulimbiu ya maonesho ya mwaka huu ni “Kuendeleza Mnyororo wa Thamani kwenye Sekta ya Ngozi na Kilimo cha B...

RAIS IPU DR.TULIA ATEMBELEA KITUO CHA KUMBUKUMBU YA KAPTENI THOMAS SANKARA NCHINI BURKINA FASO

NI KIVUMBI NGUO KUCHANIKA TIZI LA YANGA

MAJEMBE MAPYA YA KIGENI, UZI MPYA WA YANGA

BADO WACHEZAJI 2 WA KIGENI JANGWANI YANGA SC 🔰 🔥

KATIBU MKUU CCM AZUNGUMZA NA WABUNGE WA EALA TANZANIA.

WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA AMWAKILISHA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAHAFALI YA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI

WANANCHI WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUPIMA SARATANI MARA KWA MARA

WANANCHI WA KISWAGO WAMSHUKURU MHE. MBUNGE KWA KUCHANGIA UKARABATI WA DARAJA*

DKT. NCHINBI AHUDHURIA MISA YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 6 YA HAYATI MKAPA

MAANDALIZI YA UJENZI WA UWANJA WA MBEYA CITY YAMEANZA

HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAGEUKA KITOVU CHA TIBA AFRIKA MASHARIKI, MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE WAMIMINIKA DODOMA- MSIGWA

TAARIFA YA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI NDUGU GERSON MSIGWA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA WANANCHI – JIJINI DODOMA TAREHE 22 JULAI, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎