Posts

KOCHA WA GABORONE UNITED AKESHA AKICHAMBUA YANGA: “SI RAHISI KUIKABILI NYUMBANI!”

  Kocha wa Gaborone United, Sean Connor, amefanya uchambuzi wa kina wa Yanga SC kabla ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akisema mabingwa hao wa Tanzania si timu rahisi kukabiliana nayo wanapocheza nyumbani. Connor amefichua kwamba baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa mtoano, amekuwa akitazama mikanda ya mechi mbalimbali za Yanga walizocheza nyumbani, ikiwemo michezo ya msimu uliopita ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kocha huyo raia wa Ireland Kaskazini amesema amegundua namna Yanga wanavyoweka presha kubwa kwa wapinzani wao mbele ya mashabiki wao, hivyo amewaonya wachezaji wake kujiandaa kwa mchezo mgumu. «“Si rahisi kukabiliana na Yanga ikiwa nyumbani. Wana rekodi kubwa na wanacheza kwa njaa kubwa ya ushindi. Haitakuwa mechi rahisi,” alisema Connor.» Connor pia amesema amefuatilia hata mechi zilizochezwa katika uwanja ambao utatumika kwenye mchezo huo na amewaambia wachezaji wake kuwa wanapaswa kuwa tayari kukabiliana na presha kutoka uwanjani na kwa mashabi...

NAIBU WAZIRI MAHUNDI AMFARIJI RAIS SAMIA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO SEPTEMBA 9, 2026

NAIBU WAZIRI MKUU MSTAAFU DKT. BITEKO AMFARIJI RAIS SAMIA

NECTA YATANGAZA MTIHANI WA DARASA LA SABA SEPTEMBA 9 NA 10

MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMANNE SEPTEMBA 8,2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA

‎JUKWAA HURU LA WAHARIRI TANZANIA, UTPC KUSHIRIKIANA KUTETEA HAKI, MASLAHI YA WAANDISHI ‎