Posts

NMB YAGEUZA MAONESHO YA NANENANE KUWA DARASA

  Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini. Katika Banda la Vijana lililopo viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma, vijana wa mradi wa Building a Better Tomorrow (BBT) walipata mafunzo kuhusu namna ya kugeuza mawazo yao kuwa biashara endelevu, kusimamia fedha na kutumia huduma za kifedha kukuza shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi.  Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Idara ya Kilimo kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Christopher Mwalungenge, aliwahimiza vijana kuona kilimo kama biashara yenye fursa kubwa za kujenga kipato, ajira na ustawi wa muda mrefu. Mbali na vijana, maafisa wa NMB waliendelea kutoa elimu kwa vikundi vya wakulima, wafugaji na wajasiriamali waliotembelea mabanda ya benki hiyo. Washiriki walipata uelewa kuhusu huduma za kifedha, mi...

UTEUZI MPYA HUO KUTOKA IKULU

DAWA MTAA KWA MTAA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA

TARURA YATAJWA KUWA MIONGONI MWA TAASISI BORA ZA MIUNDOMBINU AFRIKA

PINDA AKOSHWA NA BIDHAA ZA KIIKOLOJIA

WAJASIRIAMALI KUTOKA PEMBA WATEMBELEA BANDA LA WMA NANE NANE, WAPATA ELIMU YA VIPIMO

RAIS MUSEVENI ALIPOWASILI IKULU DAR

DKT. MDAKU AWAWEZESHA VIJANA KUFIKIA NDOTO ZAO

MWANRI ALAKIWA KWA SHANGWE MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA

CHATANDA AMPA KONGOLE MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA MHE. MARYPRISCA MAHUNDI

UZI MPYA WA YANGA HUU HAPA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

HII NDIYO CV YA KOCHA MPYA WA YANGA

CDF MKUNDA AWATAKA MAAFISA JENERALI WASTAAFU KUACHA KUHANGAIKA NA SIASA

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥