Posts

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KUPITIA TUZO ZA MONDE SELECTION

Dar es Salaam-Tanzania, 07 Agosti 2026: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeendelea kuthibitisha ubora wa bidhaa zake katika jukwaa la kimataifa baada ya kutunukiwa Gold Quality Awards kutoka taasisi ya kimataifa ya Monde Selection, kupitia bidhaa zake za Serengeti Lite, Serengeti Lager, Serengeti Lemon pamoja na TZee. Tuzo hizi zinatolewa kwa bidhaa zinazokidhi viwango vya juu vya ubora duniani baada ya kufanyiwa tathmini ya kina na jopo huru la wataalamu wa kimataifa. Bidhaa hupimwa kwa kuzingatia vigezo mbalimbali ikiwemo ubora wa bidhaa, ladha, mwonekano, ubunifu, taarifa kwa watumiaji pamoja na uzoefu wa matumizi, kwa lengo la kuhakikisha zinakidhi viwango vya kimataifa vya ubora. Monde Selection ni taasisi ya kimataifa ya kutathmini ubora wa bidhaa za walaji iliyoanzishwa mwaka 1961 jijini Brussels, Belgium. Kwa zaidi ya miaka 65, taasisi hiyo imekuwa ikifanya tathmini za kitaalamu kwa maelfu ya bidhaa katika makundi mbalimbali ikiwemo vyakula, bia, vinywaji, vileo, bidhaa ...

WMA MSHINDI WA PILI NANE NANE KANDA YA ZIWA MASHARIKI*

WAZAZI WAHIMIZWA KUWACHANJA WATOTO KINGA YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE NYUMBANI KWAKE

UWT KIBAHA MJI YAWAPIGA MSASA WA KUJIKWAMUA KIUCHUMI KWA WANAWAKE 400 WA KATA SABA

ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA PILI ENEO LA KIKOMBO NA MKONZE KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA KUANZA KESHO

RITA YASOGEZA HUDUMA ZA USAJILI WA VIZAZI NA VIFO KWA WANANCHI WA MUFINDI

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

CHATANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA WAHUSIKA GHASIA ZA UCHAGUZI

MTANZANIA AMCHUMBIA BINTI WA RAIS WA KENYA

EACOP YAFADHILI VIJANA 17 KUSOMEA UFUNDI STADI VETA

Bei, Ladha na Chaguo; Mambo Yanayowafanya Watu Waizungumzie ORIJIN.

TRA NA WYFI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥