Posts

WMA MSHINDI WA PILI NANE NANE KANDA YA ZIWA MASHARIKI*

Na WMA - NYAKABINDI, SIMIYU*   Wakala wa Vipimo (WMA) umefanikiwa kupata nafasi ya Mshindi wa Pili katika kundi la Taasisi za Umma kwenye Kilele cha Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi (Nane Nane) Kanda ya Ziwa Mashariki. Maonesho hayo yaliyohusisha mikoa ya Mara, Simiyu na Shinyanga yalifanyika katika Viwanja vya Nyakabindi, Mkoa wa Simiyu na kumalizika kwa ushindi huo mnono kwa WMA.  Mgeni Rasmi katika Hafla ya kilele cha maonesho hayo alikuwa ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo ambaye ndiye aliwakabidhi WMA cheti na kikombe cha ushindi wa pili sambamba na washindi wengine. Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja wa WMA Mkoa wa Simiyu, Bi. Happy Titi alisema ushindi huo ni matunda ya jitihada za WMA katika kutoa elimu kwa wakulima na wafanyabiashara kuhusu umuhimu wa kutumia vipimo sahihi. “Tunamshukuru Mungu na tunampongeza Afisa Mtendaji Mkuu na wafanyakazi wote. Ushindi huu unatupa nguvu zaidi ya kuendelea ku...

WAZAZI WAHIMIZWA KUWACHANJA WATOTO KINGA YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE NYUMBANI KWAKE

UWT KIBAHA MJI YAWAPIGA MSASA WA KUJIKWAMUA KIUCHUMI KWA WANAWAKE 400 WA KATA SABA

ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA PILI ENEO LA KIKOMBO NA MKONZE KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA KUANZA KESHO

RITA YASOGEZA HUDUMA ZA USAJILI WA VIZAZI NA VIFO KWA WANANCHI WA MUFINDI

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

CHATANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA WAHUSIKA GHASIA ZA UCHAGUZI

MTANZANIA AMCHUMBIA BINTI WA RAIS WA KENYA

EACOP YAFADHILI VIJANA 17 KUSOMEA UFUNDI STADI VETA

Bei, Ladha na Chaguo; Mambo Yanayowafanya Watu Waizungumzie ORIJIN.

TRA NA WYFI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AIPONGEZA TAA KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA VIWANJA VYA NDEGE

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥