Posts

SANGU: WADAU TUCHANGIE MADAWATI

Na. Mwandishi wetu, Sumbawanga Wadau wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Rukwa wamehamasishwa kuchangia upatikanaji wa madawati kwa ajili ya kuwezesha watoto kusoma kwenye mazingira wezeshi kwa ustawi wa taaluma. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu wakati alipokabidhi madawati kwa shule za msingi katika jimbo hilo alipofanya ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo sangu alikabidhi madawati  zaidi ya 100 kwa shule za msingi sita (6) yenye thamani ya shilingi Milioni 60 ambayo ameyapata kupitia ufadhili ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). Waziri Sangu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake na wananchi wa kijiji cha Nankanga tarafa ya Kipeta na kijiji cha Ilemba alisema ametoa msaada huo kuunga mkono jitihanda za wananchi katika kuchangia maendeleo ya elimu. “ Nimekuja hapa kukabidhi zawadi ndogo kwa Watoto.Leo nimewaletea madawati 20 ambapo yatasaidia Watoto 60 kutoend...

RAIS SAMIA AWASILI ANGOLA

WANAKIJIJI WAENDELEA NA UJENZI WA SEKONDARI YAO YA UFUNDI

NMB FOUNDATION, MERCY CORPS WASHIRIKIANA KUINUA BIASHARA ZA E- MOBILITY

RAIS SAMIA, MAMA MARIA NYERERE WAENDA ANGOLA

STAKABADHI ZA GHALA YAUZA KILO BILIONI 1.1MAZAO YA WAKULIMA

STEVE NYERERE KESHO KUWAONGOZA WATANZANIA KUWAOMBEA WALIOTANGALIA MBELE YA HAKI

WANAFUNZI 50 KUPELEKWA UGHAIBUNI KUSOMA FANI YA AKILI UNDE

LRCT YAFANYA WARSHA YA NAFASI YA SHERIA YA WATU WENYE ULEMAVU UTEKELEZAJI WA DIRA YA 2050

MWENYEKITI WAZAZI TAIFA AWAKUMBUSHA VIONGOZI WA CCM BAGAMOYO KUPAMBANA NA KUWATETEA WANANCHI

CHATANDA SASA MLEZI WA CCM MKOA WA MARA

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA

TAMISEMI YAZINDUA UMOJA WA WATENDAJI KATA, VIJIJI, MITAA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE