Posts

WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

<  NA WMA - MWANZA  WAKALA wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki, baada ya kutangazwa kuwa taasisi bora katika kategoria ya  mashirika, wakala na taasisi za umma. Ushindi huo umetangazwa leo Septemba 3, 2026 wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza.  Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,  Denis Londo, aliyemwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Judith Kapinga. Akizungumza kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu, mara baada ya kupokea tuzo hiyo iliyohusisha kombe na cheti maalum cha ushindi, Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Christopher Mwakibinga amesema ushindi huo ni wa wananchi na wadau wote wa WMA waliokuwa mstari wa mbele kutembelea banda lao tangu maonesho yalipoanza tarehe 28 Agosti, 2026. "Tuzo hii ni ya wananchi na wadau wetu. Tangu siku ya kwanza wamekuja kwa wingi kuuliza maswali, kutoa ushauri wenye lengo la kubor...

UTABIRI WA HALI YA HEWA SAA 24 ZIJAZO

KATAMBI ASAINI KANUNI KUDHIBITI VING’ORA BARABARANI

NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA

MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO

NMBF YATENGA SH BILIONI 1 KWA UWEZESHAJI WA VIJANA 50

WAZIRI HOMERA AITAKA LRCT KUHARAKISHA MABORESHO YA SHERIA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 3, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA