Posts

TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD YATUA KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI

  Na Mwandishi     Wetu  - Mbeya  16/8/2027 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI)Dkt. Diwani Msemo amesema kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Saratani ORCI Mbeya kutakuwa ni hatua muhimu katika kutimiza azma ya Serikali ya kusogeza huduma za kibingwa na kibobezi za saratani karibu na wananchi wa Nyanda za Juu Kusini na nchi jirani. Dkt. Msemo amesema Serikali imewekeza takribani Shilingi bilioni 11 katika ujenzi wa kituo hicho ambacho kinatarajiwa kukamilika Januari 2027 na kuongeza uwezo wa kutoa huduma za uchunguzi, tiba na ufuatiliaji wa wagonjwa wa saratani katika ukanda huo. Akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya ORCI katika mradi huo jijini Mbeya, Dkt. Msemo amesema ujenzi wa vituo vya kikanda ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kupanua huduma za saratani nchini huku ORCI ikiwa na jukumu la kusaidia kusambaza huduma za kibingwa na kibobezi katika maeneo mbalimbali. Amesema hatua hiyo inalenga kupunguza...

MKENDA - MICHEZO NI DARAJA LA AMANI NA UMOJA

TEEA YATOA USHAURI MZITO KABLA YA BUNGE KURIDHIA TANZANIA KUJIUNGA NA GGGI

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 16, 2026

YANGA YAIPIGA NAMUNGO

NMB YATIA NGUVU TAMASHA LA KIZIMKAZI, YAPELEKA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

KISWAGA ATAJA MANUFAA TANZANIA KURIDHIA MKATABA WA WA KIMATAIFA WA MAZINGIRA WA GGGI

DKT.SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA RASMI MRADI WA JNHPP AGOSTI 22

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥