Posts

KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AIPONGEZA TAA KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA VIWANJA VYA NDEGE

  KATIKA Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Profesa Godius Kahyarara, ameipongeza Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha na kuimarisha usimamizi wa viwanja vya ndege nchini, ameeleza kuwa maboresho hayo yana mchango mkubwa katika kuchochea shughuli za kiuchumi, ikiwemo sekta ya kilimo. Profesa Kahyarara ameyasema hayo alipotembelea banda la TAA katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayofanyika jijini Dodoma, ambapo amepata fursa ya kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa na TAA pamoja na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika viwanja vya ndege nchini. Akiwa katika banda hilo, Katibu Mkuu ameipongeza TAA kwa utendaji wake katika kusimamia, kuendeleza na kuboresha miundombinu na huduma za viwanja vya ndege, amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuweka nguvu katika sekta ya usafiri wa anga ili kuongeza fursa za kiuchumi kwa Watanzania. "Serikali inaendelea kuwekeza na kuweka nguvu kubwa katika kuboresha viwanja vya ndege katika maeneo mbalimbal...

KILA KILO INAYOPOTEA NI SHILINGI INAYOPOTEA - MENEJA FEDHA WA WMA ATOA SOMO NANE NANE

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 8,2026

WAKULIMA WA UFUTA IRINGA WALIPWA BIL 5.5

WAZIRI NANAUKA AIPONGEZA TARURA KWA MPANGO WA CBRM

BWAWA LA FARKWA TUMAINI JIPYA LA MAJI MKOANI DODOMA

UZALISHAJI MBEGU BORA WAPAA KWA 55.4% -TOSCI

DARAJA LA BILIONI 1.2 KUONDOA KERO YA USAFIRI KILOSA

RAIS SAMIA AZINDUA RASMI MRADI WA MABASI YA MWENDO KASI MBAGALA

TWENDE BUTIAMA YABADILISHWA JINA KUWA 'NYERERE CYCLING TOUR'

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

HII NDIYO CV YA KOCHA MPYA WA YANGA

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.