Posts

WATUMISHI KONDOA WAHAMASISHA UTALII WA NDANI KUPITIA ZIARA NGORONGORO

NA MWANDISHI WETU WATUMISHI wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa wamefanya ziara ya utalii wa ndani katika Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na Bonde la Olduvai Gorge, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha utalii wa ndani, kuimarisha mshikamano na kuongeza ari ya utendaji kazi. Katika ziara hiyo, watumishi wamepata fursa ya kujifunza kuhusu historia ya binadamu na masalia ya viumbe wa kale yanayopatikana Olduvai Gorge, eneo lenye umuhimu mkubwa katika tafiti za historia na maendeleo ya mwanadamu. Aidha, wametembelea maeneo mbalimbali ya Hifadhi ya Ngorongoro na kushuhudia vivutio vya asili pamoja na wanyamapori mbalimbali, wakiwemo tembo, simba, faru, nyati, pundamilia, nyumbu, mbweha, swala, mbuni, viboko, ngiri na aina mbalimbali za ndege. Ziara hiyo pia imelenga kuwahamasisha watumishi wengine na wananchi kwa ujumla kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini, sambamba na kukuza utamaduni wa utalii wa ndani, kubadilishana uzoefu na kuimarisha m...

*NMB YAINGIA 10 BORA DUNIANI KWA BENKI ZENYE MALI YA DOLA BILIONI 3–10

Wanafunzi 150 wa Samia Scholarship Kwenda Algeria

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 220 IGANJO–SAZA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA UCHIMBAJI WA MADINI – SALOME

NMB YAJIUNGA NA GOAT RACES KUCHAGiZA ELIMU YA VIJANA

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA NA MAWAZIRI WATOA POLE KWA RAIS SAMIA

HABARI ZILIZORINDIMA KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 10, 2026

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA