Posts

NMB, BUNGE WACHOCHEA HAMASA YA AFCON 2027.

Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa kauli hiyo wakati wa Bonanza la Bunge na NMB jijini Dodoma, lililoandaliwa na NMB Bank kwa kushirikiana na Bunge. Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi, alisema benki hiyo imeandaa bonanza hilo kwa sababu michezo ina mchango katika afya na tija ya viongozi na watumishi. “Tunataka michezo iwe sehemu ya utamaduni wa kazi na huduma kwa wananchi,” alisema. Mwenyekiti wa Bonanza la Bunge na Mbunge wa Makete, Festo Sanga, alisema tukio hilo limewakutanisha wabunge, wizara na taasisi mbalimbali, huku likitumika kuhamasisha mazoezi na mapambano dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza. Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Machano Ali Machano, alisema mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yatakayofanyika Arusha Desemba 2026 yatakuwa hatua nyingine ya kuimarisha michezo na ushirikiano wa kikanda.  

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NDEJEMBI AAPISHWA RASMI KUWA MAKAMU WA RAIS

UWT YAPONGEZA NDEJEMBI KUTHIBITISHWA KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS

NMB, BUNGE KUWAKUTANISHA ZAIDI YA 1,000 MICHEZONI DODOMA

UTABIRI HALI YA HEWA SAA 24 ZIJAZO

TANZANIA YAUNGA MKONO TEKNOLOJIA BUNIFU ZA NYUKLIA KUPITIA MPANGO WA ATLAS

DSE YAZINDUA HUDUMA UUZAJI, UNUNUZI HISA KIDIGITAL KUPITIA NBC KIGANJANI

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA

POLISI YAKAMATA 11 WAKIHUSISHWA WIZI MIUNDOMBINU YA TTCL DAR

TPHPA YAKAA IMARA KUDHIBITI WADUDU WAHARIBIFU WA MAZAO

BUNGE LAPITISHA SHERIA YA KUWAKOMBOA WAKULIMA WA CHAI

NDEJEMBI KUUKWAA UMAKAMU WA RAIS

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR