Posts

RAIS DKT SAMIA MGENI RASMI UZINDUZI WA MRADI WA KUZALISHA NISHATI YA UMEME RUFIJI AGOSTI 22

N a Victor Masangu,Pwani  Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu  Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa kimkakati wa Bwawa la kuzalisha umeme wa maji la Mwalimu Julias Nyerere  lililopo kata ya Mloka  Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani siku  Agosti 22 mwaka huu. Akizungumuza na waandishi habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge amesema kwamba   kituo hicho  cha kina uwezo wa kuzalisha   megawati za umeme zipatazo elfu  2,115 kupitia mitambo tisa  iliyokamilika na kuunganishwa na gridi ya Taifa na kwamba kwamba maandalizi yote yanakwenda vizuri.   Aidha katika hatua nyingine  Mkuu huyo wa Mkoa amesema kwamba serikali imejipanga vilivyo katika suala zima la ulinzi na usalama na kuwahimiza wananchi kuhakikisha wanalinda vyanzo vya maji ikiwemo mradi wa Bwawa hilo ambalo ni mkombozi mkubwa katika kuleta chachu ya kiuchumi na maendeleo kw...

NMB YAWAWEZESHA WAFANYABIASHARA TISA WA LUMUMBA MWANZA KUANZA UPYA

PROF. SHEMDOE AWAASA VIONGOZI SERIKALI ZA MITAA KUEPUKA MIGOGORO ILI KUONGEZA UFANISI WA HUDUMA KWA WANANCHI

WAZIRI KAIRUKI AZINDUA AWAMU YA PILI YA FAIBA MLANGONI KWAKO, ATOA MAELEKEZO MANNE KWA TTCL

LAAC YAWAWEKA 'KITIMOTO' VIONGOZI WA HALMASHAURI YA NKASI

LAAC YAZIONYA HALMASHAURI KUPUUZA, KUDHARAU HOJA ZA KAMATI ZA BUNGE, CAG

TAMISEMI, UDSM KUIMARISHA USHIRIKIANO WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MIUNDOMBINU

WB KUFIKIRIA KUUNGA MKONO MABORESHO YA ZIADA BANDARI DAR

TACAIDS YAWEKA MIKAKATI MADHUBUTI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥

KAMATI YA BUNGE PAC YABAINI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMA MZUMBE