N a Victor Masangu,Pwani Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa kimkakati wa Bwawa la kuzalisha umeme wa maji la Mwalimu Julias Nyerere lililopo kata ya Mloka Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani siku Agosti 22 mwaka huu. Akizungumuza na waandishi habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge amesema kwamba kituo hicho cha kina uwezo wa kuzalisha megawati za umeme zipatazo elfu 2,115 kupitia mitambo tisa iliyokamilika na kuunganishwa na gridi ya Taifa na kwamba kwamba maandalizi yote yanakwenda vizuri. Aidha katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amesema kwamba serikali imejipanga vilivyo katika suala zima la ulinzi na usalama na kuwahimiza wananchi kuhakikisha wanalinda vyanzo vya maji ikiwemo mradi wa Bwawa hilo ambalo ni mkombozi mkubwa katika kuleta chachu ya kiuchumi na maendeleo kw...
- Get link
- X
- Other Apps