Posts

CCM YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA UMOJA WA MATAIFA MAKAO MAKUU YA DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Asha-Rose Migiro,leo tarehe 11 Machi 2026 amefanya mazungumzo jijini Dodoma na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa iliyopo Addis Ababa (UNOAU). Balozi Onanga-Anyanga yupo nchini Tanzania kwa nafasi yake kama  Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe.António Guterres. Kikao hicho ni sehemu ya mashauriano ya Mjumbe huyo na wadau mbalimbali wa kitaifa kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusu mustakabali wa kisiasa kufuatia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba, 2025, pamoja na juhudi pana za kuimarisha amani, demokrasia na mshikamano wa kitaifa nchini Tanzania. Katika mazungumzo hayo, Ndg. Asha-Rose Migiro alisisitiza dhamira ya muda mrefu ya Tanzania katika kuendeleza utawala wa kidemokrasia, ushiriki wa kisiasa kwa njia ya amani na kuheshimu utawala wa sheria. Alibainisha kuwa Tanzania inaendelea kuongozwa na misingi ya Mkataba...

KUNA NDOTO NYINGI ZA WANAWAKE TANZANIA, NA SASA NMB JASIRI IMEZINDULIWA RASMI KUZIFUNGUA

DKT. MAFUMIKO AELEZA TARATIBU ZA KUPIMA VINASABA (DNA)

TPDC YAWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU BEI YA MAFUTA

MA - RC ANDAENI MAPENDEKEZO YA UTITIRI WA WA TAASISI ZA UDHIBITI WA KODI - DKT. NCHIMBI

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI KUNOGILE WAANZA ZIARA KWA KISHINDO NA KUMPONGEZA RAIS SAMIA KWA USHINDI

DKT. MIGIRO AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

PROF. MUHONGO ATETA JAMBO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA BRELA NYAISA

PROF.MAHALU AAGA DUNIA

DKT AKWILAPO AKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA MASASI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025