Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwa katika picha na baadhi ya viongozi kutoka nchi mbalimbali walioshirikia Mkutano wa Tisa wa Kimataifa wa Majiji uliomalizika Mei 22, 2022 katika mji wa Kisumu nchini Kenya. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Katibu Mkuu wa Taasisi ya United Cities and Local Government of Africa (UCLG Africa) Jean Pierre Elong Mbassi (Kulia) wakati wa mkutano wa tisa wa kimataifa wa Majiji uliomalizika katika mji wa Kisumu nchini Kenya Mei 22, 2022. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwa na Mawaziri wa Eswatini wakati wa Mkutano wa Tisa wa Kimataifa wa Majiji uuliomalizika katika mji wa Kisumu nchini Kenya Mei 22, 2022 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwa ameshikilia Tuzo ya Heshima iliyotolewa na Taasisi ya United Cities and Local Government of Africa (UCLG Africa) kwa Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne Jakaya
- Get link
- Other Apps