ACHANA NA WANAWAKE

1). Wanawake hawapendi wanaume,atakuwa hapo kwa sababu kuna potentials anaona kwako.


2). Women are more loyal to their feelings than your sacrifices

3). Hauwezi kununua hisia za kweli kweli kwa mwanamke kwa kutumia pesa.

4). Thamani na heshima unaitengeneza mwenyewe.

5). Achana na wanawake wa college na chuo kama huko umeshapita.

6). Mwanamke hawezi kulea mtoto wa kike vizuri pekeyake.

7). Ukimsamehe mwanamke wako kwa kosa lisilohitaji msamaha, atarudia kufanya kosa hilo akijua utamsamehe tena huku anakulaumu kwa kumsamehe.

8). Usicheze nafasi ya Baba kwa mwanamke ambae haujamuoa.

9). Kushika mimba ya mwanaume ambae hajakuoa ni kosa.

10). Utakavyoanza na mwanamke ndivyo unatakiwa kuendelea nae na  kumaliza nae.

11). Kama Baba yako haonyeshi upendo kwako muulize Mama yako na usihukumu kwa kusikia upande mmoja.

12). Kuwa makini na single mother.

13). Mwanaume ndie anaoa, hakuna kuoana.

14). Usioe malaya anaefahamika.

15). Jamii inathamini mwanamke kuwa na standards ila ni kosa kubwa mwanaume kuweke standards za juu kabisa katika kuoa.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI