MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA


 

1. Wahiraki, 

Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho.


2. Warangi, 

Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa.


3. Wanyiramba. 

Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu


4. Wamasai, 

kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha


5. Wahaya, 

hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba.


6. Wanyaturu, 

Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia


7. Wapare, 

Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri.


8 .Wamakonde, 

Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kabila lenye wanawake wazuri Sana hususani maumbo Yao na shape za kuvutia.


9. Wasambaa, 

Kwanza weupe wanawake kitanga wamezagaa Sana tanga mjini


10. Wanyakyusa 

Moja kwa moja twende mbeya hawa wanawake wengi wao ni weusi lakini sura zao nzuri Sana black beauty.


TAJA KABILA LILOACHWA HAPA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI