Nahodha wa timu ya taifa ya Senegal Sadio Mane ameonyesha kusikitishwa na maamuzi yaliyofanywa na CAF ya kuwapokonya ubingwa wa AFCON.
"Huu sio mpira tunaopigania, hii sio Afrika tunayoiamini. Kuna rushwa nyingi na inaua shauku ya mamilioni ya mashabiki"
Wachezaji wanapambana ila
maamuzi ya vikombe yanatoka nje. Nimesikitika sio tu kwa Senegal bali kwa soka la Afrika.Mashabiki wanastahili
Haki, Uwazi na Heshima."
-Sadio Mane, Nahodha wa timu ya taifa ya Senegal

Comments