TUTAPATA MUDA WA KUTOSHA KUFANYA TATHMINI YA TIMU YETU - ALI KAMWE

Alichoandika Alikamwe baada ya sare dhidi ya TRA United.


Tumepata Sare Lakini bado kimahesabu Tuko Kileleni kwa Faida ya Pointi ... Tuweke Akili, Nguvu na hesabu zetu kwenye mchezo wa Jumamosi In Shaa Allah


Tuzipambanie kwanza hizi Pointi 3️⃣ ili tuende kwenye Mapumziko ya Ligi tukiwa Juu ya Msimamo halafu baada ya hapo Tutapata muda wa kutosha na utulivu mzuri wa kufanya Tathmini ya Timu yetu


Hizi Hila nyingine na Roho mbaya za wachawi Baadhi zilianza tangu Msimu uliopita.. na Kama Tuliweza kuzishinda na Tukabeba Ubingwa wetu kwa Kishindo, INAWEZEKANA NA MSIMU HUU


We are Young Africans Sports Club and we will bounce Back TUKIWA IMARA ZAIDI👊


TUKUTANE DODOMA WANANCHIđź”°

#daimambelenyumamwiko



 "

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)