Mgambo wa Manispaa ya Ilala wakiwa nje ya lango kuu la kuingia ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Dar es Salaam leo ambapo walizuia wafanyakazi na Mkurugenzi wao Gabriel Fuime, asiingie mpaka wajue hatima ya madai yao ya kimasilahi dhidi ya Manispaa hiyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh75dunY38L49SMtrIfV6pTWER_r95d-OMIRwA1q-5-26g3BwiY5CBspoHqxDTFb7FhOW3QOahchEmOTLGH-4HjskM_pg-T71FhsQYJUQPQiDWVRh8lBvG9XD-CCp0EK7PozSijAzQfhaEX/s640/IMG_6490.jpg) |
Wafanyakazi wakiwa nje ya lango kuu la Manispaa ya Ilala, baada ya kuzuiwa na Mgambo |
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (kushoto) akisindikizwa na Askari Polisi, alipowasili kutaka kuzungumza na Mgambo waliogoma na kumzuia asiingie ofisini
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVqM9LrUzFikfXeIcTQDC9gKsC3LSK2mfxMEN1KthCQUUzhqYTgh15S21b885v2vU5sTlxRcteIrxy4c9THDIcistP3N_uvH-mXy288ESky5YOfRd7OOLpB8KWW6-6TQTT2GJJCbw_7s4T/s640/IMG_6504.jpg) |
Mkurungenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akitafakari ni namna gani atawashawishi Mgambo kuacha mgomo na kuwafunguliwa lango lililokuwa limefungwa |
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana akiingia Manispaa ya Ilala kusuluhisha mgogoro wa Mgambo na Uongozi wa manispaa hiyo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikT5OyT5aP2Z6KYpbyGt8ntZ-hVS2CVHdcUJo5hBmijivhg5_DFqRRhrtQlD5BLN_8zbs9YDgMWppeQL7JgAfGsPM_GHUbqY4o6XdKgyAWmV2gbame5yKvWkIDjxtlW6sXXQQfXkovWxZo/s640/IMG_6489.jpg) |
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Fuime akijieleza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Rugimbana |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7RAf7qNZDREoK933EucXBZTyrZat6SUI9F7i-O46vbZ6Hc4B_hVFdpIuMqsLBpCRzNo_mPGu19hl93_UsXS7yRebb3xza8aqpuCEBkc-VQtanUTiaUpm-hMeQi6HGtdKxQUE3LAETbuIR/s640/IMG_6498.jpg) |
Rugimbana (kulia) akizungumza na Mgambo akiwasihi wamalize mgomo huo na kufungua milango waliyofunga |
Comments