YANGA BIMGWAAAAA KOMBE LA KAGAME

Wachezaji wa Yanga wakishangilia huku wakiwa na Kombe la Kagame, baada ya kutawazwa tena kuwa wafalme wa michuano ya soka ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kwa kuibwaga Azam FC mabao 2-0.
                   Kocha Mkuu wa Yanga, Tom akiungana na wachezaji kushangilia ubingwa huo

                    Mashabiki wakiungana na wachezaji wa Yanga kushangilia ubingwa huo
            Mmiliki wa Blogu ya Michuzi, Muhidini Michuzi akiendelea kuchukua matukio
                                Ubao ulivyokuwa unaonekana baada fainali hiyo kumalizika

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE