Mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Bendi ya The African Stars (Twanga Pepeta), marehemu Mwanaisha Mbegu 'Aisha Madinda' ukiombewa dua nyumbani kwao Magogoni Kigamboni, Dar es Salaam. Alizikwa kwenye makaburi ya Tuangoma Kigamboni.
Waombolezaji wakilia huku wengine wakiwa na majonzi
Mwili ukishushwa nyumbani kwao marehemu Aisha Madinda eneo la Magogoni, Kigamboni
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Bendi ya The African Stars (Twanga Pepeta), marehemu Mwanaisha Mbegu 'Aisha Madinda' tayari kuombewa dua nyumbani kwao Magogoni Kigamboni, Dar es Salaam. Alizikwa kwenye makaburi ya Tuangoma Kigamboni.
Akina mama waombolezaji wakiwa mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu
Mtoto wa Aisha Madinda (aliyelala katikati) akilia na baadaye kupoteza fahamu
Aliyekuwa bosi wa marehemu Aisha Madinda, Asha Baraka 9kushoto) akiwa katika msiba huo
Waombolezaji wakilia huku wengine wakiwa na majonzi
Mwili ukishushwa nyumbani kwao marehemu Aisha Madinda eneo la Magogoni, Kigamboni
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Bendi ya The African Stars (Twanga Pepeta), marehemu Mwanaisha Mbegu 'Aisha Madinda' tayari kuombewa dua nyumbani kwao Magogoni Kigamboni, Dar es Salaam. Alizikwa kwenye makaburi ya Tuangoma Kigamboni.
Akina mama waombolezaji wakiwa mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu
Mtoto wa Aisha Madinda (aliyelala katikati) akilia na baadaye kupoteza fahamu
Aliyekuwa bosi wa marehemu Aisha Madinda, Asha Baraka 9kushoto) akiwa katika msiba huo
Comments