DK MAGUFULI ATINGA MJI MDOGO WA KATORO, GEITA

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda mkoani Geita leo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 sehemu ya umati wa wananchi katika mkutano huo uliofanyika Mji Mdogo wa Katoro Geita.
 Dk Kinana akihutubia na kuomba wananchi wampigie kura katika Mji wa Runzewe Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita leo
 Wengine ilibidi wawe juu ya kuta ili wapate kumona Dk Magufuli wakati wa kampeni katika mji wa Runzewe, Bukombe, Geita
 Umati wa watu katika mkutano wa kampeni Runzewe
 Dk Magufuli akiwapungia wananchi alipokuwa akiingia katika miji ya Buselesele na Katoro
 Msafara ukiingia katika mkutano wa kampeni katika Mji wa KATORO,
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Musukuma akihutubia kabla ya kumkaribisha Dk Magufuli mjini Katoro

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--