MAGESSA: TUNAOMBA SERIKALI ITUPATIE MAAFISA UGANI, SKIMU ZA UMWAGILIAJI BUSANDA+video

 

 Mbunge wa Busanda, Tumaini Magessa ameishauri Serikali asilimia 10 ya Bajeti iende kwenye sekta ya kilimo ili Taifa liweze kufanikiwa.

Aidha, ameomba serikali kuliongezea jimbo la Busanda maafisa ugani kwani jimbo hilo lina Kata 37 lakini linao 27 tu, pia ameomba kuwapatia skimu za umwagiliani.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Magessa akitoa ushauri wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.