MAGESSA: TUNAOMBA SERIKALI ITUPATIE MAAFISA UGANI, SKIMU ZA UMWAGILIAJI BUSANDA+video

 

 Mbunge wa Busanda, Tumaini Magessa ameishauri Serikali asilimia 10 ya Bajeti iende kwenye sekta ya kilimo ili Taifa liweze kufanikiwa.

Aidha, ameomba serikali kuliongezea jimbo la Busanda maafisa ugani kwani jimbo hilo lina Kata 37 lakini linao 27 tu, pia ameomba kuwapatia skimu za umwagiliani.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Magessa akitoa ushauri wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI