PERAMIHO WAMEITIKA MKUTANO WA RAIS SAMIA

Sehemu ya umati mkubwa wa wananchi wa Mji wa Peramiho wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliposimama eneo hilo kwa ajili ya kuwasalimia, akitokea Kijiji cha Lipokela, Kata ya Liganga, Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Kabla ya hapo, Rais Dkt. Samia alitembelea na kuzungumza na wafanyakazi wa Shamba la Kahawa la AVIV Tanzania Limited, tarehe 24 Septemba 2024.


  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi katika eneo hilo la Peramiho.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI