RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MIRADI 30 YA MAJI RUVUMA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Halmashauri ya Madaba, Wilaya ya Songea, baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Mradi wa Maji wa Mtyangimbole, kwa niaba ya miradi mingine ya maji 30 inayoendelea kutekelezwa katika Mkoa wa Ruvuma, leo tarehe 24 Septemba 2024, akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani humo.

Rais Samia akiwa na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi huo.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika hafla hiyo.
Sehemu ya umati wa watu ulioshuhudia tukio hilo muhimu.
Wananchi wakifurahia baada ya mradi huo kuwekewa jiwe la msingi.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI