JENGO JIPYA LA WMA KUZINDULIWA JUMATATU

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Prof. Eliza Mwakasungura aliyeambatana na wajumbe wa bodi hiyo, wameridhishwa na ukamilishaji wa ujenzi wa jengo jipya la WMA baada ya kulikagua Februari 7, 2025 eneo la Medeli jijini Dodoma. Jengo hilo la ghorofa 5 linalojengwa na Kampuni ya Mohammed Builder kwa gharama ya sh. bil. 6.2 litakabidhiwa rasmi kwa WMA Februai 10, 2025.

Wajumbe wa Bodi hiyo wakipata maelezo kuhusu ukamilishaji wa jengo hilo.

Muonekano wa jengo hilo kwa ndani.

Wakikagua jengo hilo.





Wakiwa katika picha ya kumbukumbu.



Jengo linavyonekana kwa nje,


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--