MAMA LISHE WAFURIKA KUMLAKI RAIS SAMIA, WATOA YA MOYONI


 Mama Lishe wamejitokeza kwa wingi kumlaki Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo Februari 4, 2025, tayari kuongoza maadhimisho ya miaka 48 ya CCM kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodfoma kesho.

CCM Itatumia maadhimisho hayo kuwatambulisha kwa wana CCM wagombea wao urais kupitia chama hicho katika uchaguzi Mkuu ujao. Samia atagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Hussein Ali Mwinyi atagombea urais wa Zanzibar na Dkt. Emmanuel Nchimbi atakuwa mgombea mwenza urais wa Tanzania.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--