BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA NDUGU MALIMA

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa pole kwa familia ya marehemu Mobutu Malima, nyumbani kwake Kishili, Nyamagana, mkoani Mwanza, tarehe 20 Juni 2025. 


Ndugu Malima, ambaye alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu (Bara), Makao Makuu ya CCM, Dodoma alifariki tarehe 15 Juni na anatarajiwa kuzikwa Jumapili, tarehe 22 Juni 2025, eneo la Ihayabuyaga, Magu, mkoani Mwanza.







Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI