Baadhi ya wanamichezo wakishindana kunywa soda wakati wa CRDB Bunge Grand Bonanza liliofanyika kwenye viwanja vya ST. John Merlin Miyuji jijini Dodoma Juni 21, 2025.
Bonanza hilo lililofana lililodhaminiwa na Benki ya CRDB lilishirikisha michezo mbalimbali ikiwemo soka, kufukuza kuku, kupita katikati ya mapipa, kula wali na maharake, mpira wa wavu, bao, drafti, soka, kurusha tufe, kuruka, kuvuta kamba na mingineyo.Washindi walizawadiwa vikombe na medali.
Mgeni rasmi alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye hata hivyo aliwakilishwa kwa niaba yake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Huyu ndiye mshindi wa kwanza'Waziri Mkuu Majaliwa akihutubia.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela akitoaneno katika Bonanza hilo.Naibu Spika wa Bunge, Azan Zungu akitoa shukrani.
Baadhi ya wabunge .
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments