LUHAMO ANENA HAYA AKICHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE MTUMBA

Mussa Luhamo akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Jimbo la Mtumba Dodoma Juni 30, 2025.

Luhamo akitia saini tayari kukabidhiwa fomu.

Akipata maelezo kuhusu ujazaji wa fomu hizo zinazotakiwa kurejeshwa kabla ya saa 10 jioni Julai 2, 2025.


Hadi jioni ya leo waliochukua fomu katika majimbo mawili ya Dodoma Mjini na Mtumba wamefikia 32. 27 Dodoma Mjini na watano Mtumba.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI