Afisa Mitihani wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Valentino Kibaja maarufu kama Master Ki na Mtaalamu wa Madini Onesmo Komu wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea katika Jimbo la Dodoma Mjini.
Valentino Kibaja 'Master Ki'.
Onesmo Komu.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments