MASTER KI, KOMU WALONGA HAYA WAKICHUKUA FOMU ZA UBUNGE DODOMA MJINI

Afisa Mitihani wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Valentino Kibaja maarufu kama Master Ki na Mtaalamu wa Madini Onesmo Komu wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea katika Jimbo la Dodoma Mjini.

Fomu hizo wamekabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapoinduzi (CCM), Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba Juni 30, 2025.
Valentino Kibaja 'Master Ki'.

Onesmo Komu.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI