MTATURU AJITOSA JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.

Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa  kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo la Ikungi Mashariki.

Jina la Jimbo hilo limetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kubadilisha jina la awali la Singida Mashariki kuwa Ikungi Mashariki na Singida Magharibi kuwa Ikungi Magharibi.


Mtaturu amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29,2025,na Katibu wa CCM Wilaya ya Ikungi,Joshua Mbwana.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI