MWANYIKA AONGOZA BUNGE MKUTANO WA 19, KIKAO CHA 50

Mwenyekiti wa Bunge, ambaye ni Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akiongoza Mkutano wa 19, Kikao cha 50 cha Bunge jijini Dodoma Juni 20, 2025.

Katika kikao hicho ameongoza mjadala wa kulitaka Bunge kukubali na kupkea  na kupitisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha wa 2025/2026. 







Mwanyika akiondoka baada ya kuahirisha bunge hadi Jumatatu Juni 23, 2025. Bunge la 12 linatarajiwa kuhitimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Juni Ijumaa Juni 27, 2025.

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI