RAIS SAMIA AFURAHISHWA NA TAMASHA LA UTAMADUNI LA BULABO MWANZA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Chifu Hangaya, ambaye ni Mkuu wa Machifu Tanzania, akizungumza wakati wa Tamasha la Utamaduni la Bulabo, lililowahusisha watu mbalimbali wakiwemo Watemi wa Usukumani, Machifu kutoka maeneo mbalimbali nchini, viongozi na wananchi, lililofanyika katika Uwanja wa Bulabo, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, leo Jumamosi tarehe 21 Juni 2025.

Mapema Mhe. Rais Dkt. Samia pia alipata fursa ya kutembelea Kituo cha Hifadhi na Makumbusho ya Utamaduni wa Wasukuma cha Bujora, kilichopo Kisesa, wilayani humo.










 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI