AFISA MWANDAMIZI OFISI YA RAIS DKT. MADELE AREJESHA FOMU ZA UBUNGE DODOMA MJINI

Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Dkt. Fabiani Madele amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Dodoma Mjini.

Fomu hizo zilipokelewa na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Sophia Kibaba Julai Mosi, 2025.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI