LUKUVI ACHUKUA NA KUREJESHA FOMU ZA UBUNGE ISIMANI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi leo amechukua na kurejesha fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika ofisi ya CCM Iringa Vijijini.

Lukuvi ambaye ni kada wa CCM wa muda mrefu ambaye amekitumikia chama na serikali kwa uaminifu mkubwa, anatetea nafasi yake ya Ubunge katika jimbo hilo ambayo alianza tangu mwaka 1995.

#UchaguziMkuu2025



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI