YANGA MTAENDELEA NA FURAHA HADI MIAKA 20 - KOCHA HAMDI


 "Furahieni ubingwa, Furahieni mafanikio lakini mmetufundisha maisha, mnajua namna ya kuipenda timu yenu, nimefanya kazi kwenye klabu kubwa lakini hawapo kama nyinyi, hii ndio klabu bora ninayoiona."


"Nimeona mlichokifanya leo kwenye parade, tunaweza kuona hivyo hadi miaka ishirini, ahsanteni sana wote."


- Miloud Hamdi, kocha mkuu wa klabu ya Yanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI