CHATANDA ASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM TANGANYIKA PACKERS


Mwenyekiti wa Umoja Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania (UWT), Marry Chatanda akiwa na viongozi na makada wa Chama hicho aliposhiriki uzinduzi wa Kampeni za Mgombea urais, Dkt. Samia Suluhu Hassan,  mgombea Mwenza, Dkt. Emmanuel Nchimbi, wabunge na madiwani.

Uzinduzi huo umefanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam Agosti 28, 2025.

Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba 29,2025.










 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....