UTAMADUNI WAMUENZI BABA WA TAIFA

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Butiama wakicheza ngoza za asili za kabila la wazanaki nje ya jengo la makumbusho ya historia ya hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Utamaduni Duniani yanayofanyika kitaifa mkoani Mara na pia kuenzi mchango wa Mwalimu katika kudumisha utamaduni.

Baadhi ya Wafanyakazi na Viongozi wa Wizara ya Hbari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiongozwa na Afisa Utawala wa Makumbusho ya Mwalimu Nyerere wakionyeshwa baadhi ya maghala ya kuhifadhia chakula yaliyotumiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kuhifadhia Chakula enzi ya uhai wake alipokuwa akijishughulisha na shughuli za kilimo na kupiga vita adui njaa kwa vitendo.



Eneo la juu likionyesha nyumba aliyojengewa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kijijini Butiama.







Mkurugenzi wa Utamaduni wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermans Mwansoko (mwenye suti)akiweka shada la maua juu ya kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa niaba ya baadhi ya wafanyakazi wa Wizara hiyo ambao wako mkoani Mara kuungana na wananchi kuadhimisha Siku ya Utamaduni Duniani ambayo Kitaifa inaadhimishwa katika Manispaa ya Musoma.






Baadhi ya Viongozi na wafanyakazi wa Idara ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakipata maelezo mafupi nje ya jengo lilimo kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kabla ya kuingia.








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA