REDDS KUANDAA BONANZA LA WAREMBO NA WANAHABARI WANAWAKE

Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya bonanza la michezo litakalowashirikisha warembo watakaoshiriki Redd's Miss Temeke, Ilala na Kinondoni pamoja na waandishi wa habari za michezo wanawake, Jumamosi, kwenye ufukwe wa mbalambweni, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mratibu wa Miss Ilala, Jackson Kalikumtima na Boi George ambaye ni mratibu wa Miss Kinondoni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA