KAMATI YA ULINZI NA USALAMA RUVUMA YAKAA KIKAO KUJADILI MAUAJI YALIYOIKUMBA SONGEA

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Ruvuma, ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa huo, Said Mwambungu akizungumza katika mkutano na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama baada ya kutokea mauaji wakati wa maandamano ya wananchi ya kupinga mauaji ya watu kwa imani za kishirikina.. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Songea, Thomas Sabaya.
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambao ni wenyeviti wa Serikali za mitaa, madiwani wakimsikiza Mwambungu kwenye mkutano huo wa dharula
Baadhi ya wajumbe wa Kamati hiyo, wakiwa katika mkutano wa kujadili mtafaruku huo. (PICHA NA MUHIDIN AMRI)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*