KAMATI YA ULINZI NA USALAMA RUVUMA YAKAA KIKAO KUJADILI MAUAJI YALIYOIKUMBA SONGEA

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Ruvuma, ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa huo, Said Mwambungu akizungumza katika mkutano na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama baada ya kutokea mauaji wakati wa maandamano ya wananchi ya kupinga mauaji ya watu kwa imani za kishirikina.. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Songea, Thomas Sabaya.
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambao ni wenyeviti wa Serikali za mitaa, madiwani wakimsikiza Mwambungu kwenye mkutano huo wa dharula
Baadhi ya wajumbe wa Kamati hiyo, wakiwa katika mkutano wa kujadili mtafaruku huo. (PICHA NA MUHIDIN AMRI)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA