TBL KUANZA KUTUMIA BARCODES KWENYE BIDHAA ZAKE

Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto), akipokea mfano wa nembo ya mistari kwenye bidhaa ya Tanzania (BARCODES) kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji Bidhaa wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Odilo Majengo Kaimu katika uzinduzi wa nembo hizo, Dar es Salaam. TBL ni moja ya kampuni kubwa nchini itakayoanza kutumia nembo hizo za Tanzania zinazotengenezwa na kampuni ya GSI Tanzania National Limited. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo akizungumza wakati wa hafla hiyo
Kilindo (kushoto) akipongezwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye


Mgeni rasmi Majengo (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watu mbalimbali walioalikwa katika hafla hiyo



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA