HAFIDHI APEWA WAKFU WA UASKOFU ZNZ

Askofu Michael Henry Hafidhi ( vazi jekundu) muda mfupi kabla ya kutawazwa kuwa Askofu wa Anglican zanzibar.Picha na Martin kabemba.
Askofu mteule Michael Henry Hafidhi (kulia) akila kiapo mbele ya askofu mkuu wa Anglican Tanzania dk.Valentino Mokiwa.Picha na Martin kabemba.

Maaskofu wa anglican kutoka Tanzania wakimwekea mikono askofu mteule Michael Henry hafidh jana.

Rais wa zanzibar Dk A.li mohamed shein akiwa mgeni rasmi akiwa na Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania, Benjamin William mkapa wakifuatilia iibada ya kuwekwa wakfu Askofu Michael Henry Hafidhi kwenye kanisa la Anglican, mkunazini zanzibar
Rais wa Zanzibar Dk.Shein akihutubia kwenye kanisa la Anglican wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa Anglican Zanzibar, Michael Henry Hafidh .
Picha na Martin Kabemba.

Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania, awamu ya tatu, Benjamin William mkapa akihutubia waumini  wa kikkristo  baada ya ibada ya kuwekwa wakfu Askofu wa Anglican dayosisi ya Zanzibar.
Picha na Martin Kabemba

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

HII NDIYO CV YA KOCHA MPYA WA YANGA

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

CDF MKUNDA AWATAKA MAAFISA JENERALI WASTAAFU KUACHA KUHANGAIKA NA SIASA