JK ASHIRIKI MAZISHI YA JENERALI MSTAAFU ERNEST MWITA KIARO

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Mkuu wa Majeshi mstaafu, marehemu Jenerali Ernest Mwita Kiaro wakati wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani kwake Tarime, mkoani Mara
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Mkuu wa Majeshi Mstaafu Marehemu Jenerali Ernest Mwita Kiaro wakati wa mazishi yake huko Tarime,mkoani mara jana(picha na Freddy Maro).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...