Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Mkuu wa Majeshi mstaafu, marehemu Jenerali Ernest Mwita Kiaro wakati wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani kwake Tarime, mkoani MaraAmiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Mkuu wa Majeshi Mstaafu Marehemu Jenerali Ernest Mwita Kiaro wakati wa mazishi yake huko Tarime,mkoani mara jana(picha na Freddy Maro).
DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI
Mwanaume nisikilize! Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata kama haikuambii ila we fahamu tu kuwa kuna vile wanawaza na kukutazama. Ukiwa huna pesa kuna namna fulani watu wanakunyima heshima au wanakukadiria heshima. Ukiwa huna pesa hakuna anayejali unachosema haijalishi unasema point au jambo la maana kiasi gani. Na ukiendelea kutoa msisitizo ili point yako isikilizwe utaambiwa unapiga kelele au unaleta vurugu kwenye kikao. Tunaishi katika Dunia ambayo haina huruma kwa mwanaume asiye na pesa. Dunia ni sehemu katili kwa mwanaume masikini si Kanisani si hospitalini kama huna pesa wewe si lolote si chochote hata aina ya maombi utakayopewa na heshima utakayopewa ni tofauti sana. Hata Kanisani wewe hata uwe na wanawake 6 na vimada 6 lakini una hela heshima yako italindwa, lakini kama huna pesa utatengwa. Hata Kanisa haliwapi kipaumbele wala heshima watu wasio na pesa. Mwanaume amka kila siku ufanye kazi kwa bidii na kwa akili na maarifa — du...
Comments