MKUTANO WA WAWEKEZAJI WA KUBANGUA KOROSHO ULIODHAMINIWA NA NMB WAFANA


Baadhi ya wadau walioshiriki kongamana la wawekezaji wa zao la korosho wakimsikiliza Ofisa Uhusiano Kitengo cha Kilimo wa benki ya NMB, Nancy Asman (pili kushoto), walipotembelea banda la NMB.  


Meneja Mawasiliano wa NMB, Josephine Kulwa akizungumza na Mkurugenzi wa kampuni ya Bytrade Tanzania Bw. Harish Dhutia aliyehudhuria kongamanao la wawekezaji wa zao la korosho.


Baadhi ya wadau wa zao la Korosho wakiwa katika kongamano la wawekezaji wa zao la korosho  lililofunguliwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.