BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAANZA VIKAO DAR

 Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dk Zziwa, akiomba dua wakati wa ufunguzi wa kikao cha bunge hilo, kwenye Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam jana. Kulia kwake ni Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda.
 Wabunge wa EALA wakiwa wamesimama wakati Spika wa Bunge hilo, Dk Zziwa, akiomba dua katika ufunguzi wa kikao cha bunge hilo, kwenye Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam
 Baadhi ya wageni waalikwa wakisoma nyaraka muda mfupi kabla kuanza kwa kikao hicho cha bunge.
 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Said Mtanda (Tanzania), kushoto, akifurahia jambo na mbunge mwenzie kutoka Burundi, Leons Ndaruganile wakati wa kikao cha bunge hilo.
Baadhi ya wabunge wa EALA  wakijadiliana mambo muda mfupi kabala ya kuanza kikao cha bunge hilo, kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)