MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NGONGO MKOANI LINDI

 Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete akiangalia kinu cha kusindika unga wa mhogo kinachomilikiwa na Tawi la Mkumbara katika Kata ya Jamhuri tarehe 27.8.2014.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ngongo iliyoko Lindi Mjini tarehe 27.8.2014.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ngongo iliyoko Lindi Mjini tarehe 27.8.2014.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasalimia watoto baada ya kulitembelea Tawi la Mtanda lililoko katika Kata ya Jamhuri huko Lindi Mjini mara baada ya kufanya kikao cha ndani katika Tawi hilo tarehe 27.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasalimia watoto baada ya kulitembelea Tawi la Mtanda lililoko katika Kata ya Jamhuri huko Lindi Mjini mara baada ya kufanya kikao cha ndani katika Tawi hilo tarehe 27.8.2014.Picha na John  Lukuwi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM