MSAMA , POLISI WAWAKAKAMATA WATU 15 WANAOIBA KAZI ZA WASANII

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akionesha baadhi ya CD feki za muziki ya wasanii mbalimbali wa muziki wa injili zilizokamatwa katika operesheni inayoendelea nchini. Watu 15 walikamatwa wakiuza CD hizo katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Mrakibu Mwandamizi wa Polisi,  ambaye ni mpelelezi wa Kituo cha Polisi cha Urafiki, Dar es Salaam, Denis Moyo na askari wa kituo hicho anayeongoza operesheni hiyo, Daniel Nonosiua.

 Sehemu ya CD zilizokamatwa zikiwa zimesambazwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, Ubungo, Dar es Salaam. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI