WENGI WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA JAJI LEWIS MAKAME DAR

 Majaji wakiliingiza kwenye gari jeneza lenye mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame, baada ya ibada ya kumuombea iliyofanyika katika Kanisa la St. Albano la Anglikana, Dar es Salaam.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
 Waombolezaji wakipita kumuaga Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
 Padri Augustino Ramadhani ambaye ni Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, akipita kuuaga mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame, baada ya kuendesha ibada ya kumuombea katika Kanisa la Anglikana la St. Albano, Dar es Salaam
Mjane wa marehemu, Lewis Makame, Mary Makame akiuaga mwili wa mumewe katika Kanisa la St. Albano la Anglikana, Dar es Salaam. Mwili wa marehemu unasafirishwa kesho kwenda Kijiji cha Tongwe, wilayani Muheza,Tanga kwa mazishi. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMISI MUSSA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA