NG'OMBE 'KIKWETE' AWA KIVUTIO MAONESHO YA NANE NANE DODOMA

 

 Ng'ombe mwenye uzito zaidi ya kilo 700 kutoka Mpwapwa, ambaye kutokana na kilo zake kuwa nyingi amepewa jina la Mheshimiwa Kikwete (pichani amekuwa kivutio kikubwa kwenye paredi ya mifugo iliyoshuhudiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamula wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma Agosti 5, 2022.


Mfugaji wa ng'ombe huyo, George Magaya

Baadhi ya wananchi walioshuhudia paredi hiyo


Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Senyamule akipongezana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki wakati wa paredi hiyo ya mifugo.

Pia utamsikia kwenye clip ya video mfugaji wa ng'ombe huyo George Magawa akielezea jinsi anavyomfuga kiustadi kiasi cha ng'ombe huto kuwa na kilo hizo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

PROF NDAKIDEMI: TULETEENI MIRADI, TUWALIPE NYAMA NA SAMAKI