DKT NCHIMBI NI MTU WA WATU



 Katibu Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akimsikiliza mwananchi  aliyejitokeza kumlaki jana wakati msafara wake ulipowasili  katika Soko la Mazao Tunduma kwa ajili ya kusikiliza kero za wafanyabiashara hao Aprili 15, 2024. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

MWANACHADEMA MSEMAJI WA WAMACHINGA TAIFA AHAMIA CCM