ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU


 Mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza kidato cha sita na kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) akielezea jinsi alivyonufaika na mafunzo ya kilimo na baada ya kuhitimu ameanzisha shamba la vitunguu na mauzo yake yamesaidia kulipia ada chuoni hapo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA