NINA FURAHA KUWA YANGA- PEDRO

"Tunakwenda kucheza na mpinzani tofauti na
yule tuliokutana nae kwenye mchezo wa kwanza.
"Mazingira pia ni magumu kwenye hali ya hewa, lakini
tumepata siku 2 za kuzoea kiasi mabadiliko hayo na nina amini kesho tutakuwa kwenye nafasi nzuri kuleta
ushindani"

"Nina kipindi kifupi ndani ya Yanga lakini nina furaha
kubwa na kundi la wachezaji niliowakuta, naamini
tunazidi kuwa bora katika kila mchezo, kesho ni kipimo
kingine kwenye safari yetu," Kocha mkuu wa Yanga Sc  Pedro Goncalves



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI