RAIS SAMIA AWASILI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) na kupokelewa na viongozi mbalimbali, tayari kuelekea Arusha ambako kesho, tarehe 22 Novemba, 2025, atatunuku Kamisheni kwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA). 






 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA