HATUNA HOFU KUCHEZA NA AL AHLY- KOCHA WA YANGA


"Tunatambua kuwa tunacheza dhidi ya klabu kubwa zaidi Afrika, klabu ya karne na hilo linahitaji heshima. Lakini kama tunataka kuwa sehemu ya historia ya soka la Afrika, si suala la kuwa na hofu ni suala la kucheza mpira. Mwisho wa siku tunakuja kucheza na kujaribu kuwashinda wapinzani wetu, huo ndio mpango wetu wa kesho. 

Ili ufikie kiwango cha juu lazima ucheze dhidi ya timu bora. Tunaamini kikosi chetu kina ubora, wachezaji wana kiwango na wana hamu ya kutoa kila kitu kwa ajili ya timu. Tunawaamini wachezaji wetu na tunaamini kuwa kesho tutapata matokeo tunayoyataka" Kocha mkuu Pedro Goncalves 

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA