WAKAZI Asha Said (71) aliyenyoosha kidole kuonyesha uharibifu mkubwa uliotokea kwenye nyumba yao kufuatia kimbunga kikali kilichotokea katika kijiji cha Chahua Kata ya Bwilingu Chalinze Bagamoyo Pwani ambapo nyumba 142 zimehezuliwa mapaa yake na kuwaacha wakazi wake wakihifadhiwa kwa ndugu na majirani, kulia kwake ni mama yake mzazi aitwaye Fatuma Omary (90) ambao hawana msaada wowote hivyo wanaonmba wasaidie. (Picha na MWENGE SAID).
MLEMAVU wa viungo Yussuf Ally anayetambaa mkazi wa kijiji cha Chahua Bagamoyo Pwani akiwaonyesha viongozi ngazi ya Kata na Tarafa namna uharibifu uliotokea kwenye nyumba yake ambayo imeezuliwa paa hali inayomfanya mkazi uyo kuhitaji msaada wa haraka, kutoka kushoto Mwnyekii wa kijiji Christine Kejeli, Ofisa Tarafa Mary Komba na Mtendaji wa kijiji Hamza Salum. (Picha na MWENGE SAID)
Comments