KAMISHNA MARIJANI AZINDUA CHAMA CHA WAFUGAJI MBWA TANZANIA (TCA)

 Wamiliki wa mbwa wakiwatuliza mbwa wao waliokuwa wangombana wakati wa hafla ya  uzinduzi wa Chama cha Wafugaji wa Mbwa Tanzania kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Nsato Marijani akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Chama cha Wafugaji wa Mbwa Tanzania kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam.Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Mwami Mlangwa.
 Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Nsato Marijani akionesha vyeti vya usajiri vya Chama cha Wafugaji wa Mbwa Tanzania (TCA) kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam.Kushoto ni
 Kikosi cha polisi cha mbwa kikipita wakati wa kuonesha shoo ya mbwa hao
 Mbwa wa Polisi akiruka kiunzi
 Mbwa wa Polisi akikamata mhalifu
 Shoo ya mbwa wa kufugwa wakipitishwa na wamiliki













 Mdau wa chama cha TCA, Deo Rweyunga akizungumza kuhusu ufugaji bora wa mbwa hao


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE