WAZIRI NDALICHAKO: ATAKAYE ENDELEA KUKAIDI KWA KUCHANGISHA WANAFUNZI FEDHA ZA MITIHANI KUKIONA+video

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Novemba 24,2021, kuelezea tulipotoka, tulipo na tuendako, changamoto na mafanikio ya sekta ya elimu katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika.

Pamoja na mambo mengine, Waziri Ndalichako amepiga marufuku walimu kuwachangisha wanafunzi michango ya kulipia mitihani na kwamba watakao kiuka watachukuliwa hatua kali.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitangaza kuanza kwa mkutano huo.
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Sharon Sauwa akiuliza swali wakati wa mkutano huo.


 





Maafisa habari wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Oliver Katto (kushoto) na Ipyana Mwaipaja wakijadiliana jambo wakati wa mkutano huo.




Waziri Ndalichako akiondoka kwa furaha baada ya kumalizika kwa mkutano huo.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Ndalichako akielezea marufuku hiyo....


 

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI