Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Bupe Mwakang'ata amechukua hatua ya kukumbushia ujenzi kwa kiwango cha lami Barabara ya Kibaoni, Mtowisa hadi Mlowo inayounganisha mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwakang'ata akikukumbushia ujenzi wa barabara hiyo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203
Comments