"Sijawahi kufikiria kupaki basi, tunaamini mpira ni burudani inayoambatana na ushindi, mchezo wetu na Yanga hakuna kitachobadilika sana, isipokuwa mbinu ambayo inabaki kuwa siri yangu na wachezaji, jambo nzuri tuna ndugu zetu wengi sana Tanzania watakuja kutusapoti."
Rulani Mokwena, Kocha Mkuu wa Mamelodi Sundowns
Comments